A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

Lakini Mkuu Divai ni Wine na Ndo mvinyo hiyo hiyo
Sijakataa. Pombe ya mnazi ukiigema na kuinywa hapohapo huwezi kulewa ila ukiichachisha utalewa. Sasa sijui kama divai iliyotemgenezwa ilichachishwa na kuwa na kileo au?
 
Naelewa unachosema Mkuu lakini Yesu alikuja na Alikunywa Wine ila hakulewa
Hata Mbinguni itakuwepo Divai safi takatifu,

Wakati huo huo walevi wakitupwa motoni (1 Corinthians 6:9-11)

Nionyeshe nani atumiaye mvinyo ambaye hajawahi kulewa!!

Njia ya Mbinguni ni nyembamba, waionao ni Wachache, Bali njia ya kuelekea kuzimu ni Pana tena ya lami!!!
 
Sijakataa. Pombe ya mnazi ukiigema na kuinywa hapohapo huwezi kulewa ila ukiichachisha utalewa. Sasa sijui kama divai iliyotemgenezwa ilichachishwa na kuwa na kileo au?
Ili.mpaka iitwe Wine Lazima iwe imechachishwa ila ikiitwa fruits of vine ndo haijachachishwa na hapo imeandikwa wine mkuu..
Hebu nitajie wine ambayo haijachacha?
 
Nataka andiko linalosema Yesu alibadili maji kuwa juice sio pombe
Nimekupa Hilo 1 Corinthians 6:9-11
Inasema walevi hawataurithi ufalme wa Mungu.

Mbinguni walevi hawaingii sababu kule hakuna kulewa.

ELEWA MAANDIKO basi.
 
Ili.mpaka iitwe Wine Lazima iwe imechachishwa ila ikiitwa fruits of vine ndo haijachachishwa na hapo imeandikwa wine mkuu..
Hebu nitajie wine ambayo haijachacha?
Sijawah sikia.fruits of wine asante kwa kunifahamisha
 
Nionyeshe nani atumiaye mvinyo ambaye hajawahi kulewa!!
Luka 7:34

Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.

The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!

Screenshot_20240119_201720_Chrome.jpg
 
Yohana 2:7
Yesu akawaambia: “Ijazeni mitungi hiyo maji.” Nao wakaijaza pomoni. 8 Akawaambia: “Choteni kidogo na kumpelekea msimamizi wa karamu.” Basi wakampelekea. 9 Msimamizi wa karamu alipoonja maji yaliyokuwa yamegeuzwa kuwa divai, bila kujua divai ilitoka wapi (lakini wahudumu waliokuwa wamechota maji hayo walijua), akamwita bwana harusi 10 akamwambia: “Kila mtu hutoa divai nzuri kwanza, kisha hutoa divai hafifu wakati ambapo watu wameingiwa na kileo. Lakini wewe umehifadhi divai nzuri mpaka sasa.”

Divai ni pombe.

Yap
 
Luka 7:34

Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.

The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!

View attachment 2876715
Hata Mimi nikinywa Mucoline silewi.

Naongelea mzoefu wa pombe mwanadamu ambaye hajawahi lewa na kudhalikika au kudhalilisha.
 
Sijawah sikia.fruits of wine asante kwa kunifahamisha
Marko 14:25

Amin, nawaambia ninyi, Sitakunywa tena kabisa uzao wa mzabibu (Divai)hata siku ile nitakapounywa mpya katika ufalme wa Mungu.

Verily I say unto you, I will drink no more of the fruit of the vine, until that day that I drink it new in the kingdom of God...
 
Hata Mimi nikinywa Mucoline silewi.

Naongelea mzoefu wa pombe mwanadamu ambaye hajawahi lewa na kudhalikika au kudhalilisha.
Anhaa kwahyo hapo.Tumeelewana maana kunywa na kulewa ni vitu viwili tofauti..

Ulevi ndo mbaya ila kunywa hakujakatazwa..

1 Timotheo 5:23

Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.

Drink no longer water, but use a little wine for thy stomach's sake and thine often infirmities.
 
Marko 14:25

Amin, nawaambia ninyi, Sitakunywa tena kabisa uzao wa mzabibu (Divai)hata siku ile nitakapounywa mpya katika ufalme wa Mungu.

Verily I say unto you, I will drink no more of the fruit of the vine, until that day that I drink it new in the kingdom of God...
Ni sawa kabisa.

Hapo hapo 1 Corinthians 6:9-11

Inasema walevi hawatoboi Mbinguni, so Kwa kuwa ndani ya mvinyo mna ufisadi (Waefeso 5:18)

Solution ni kutokunywa pombe.
 
Huu uzi tuwaachie Wasabato na Wakatoliki watunishiane misuli ya imani 😃
 
Back
Top Bottom