A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

Mwanzo 9:20,21
Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
Ndo ujue kutofautisha Divai iliyochachuka na kufikia kuitwa pombe inayolewesha vs Divai inayonywewa kama Juc.
 
Pombe sio dhambi ila ulevi unapelekea dhambi kwa asilimia kubwa ...Dhambi hizo ni shari (ugomvi) na madhara ya kimwili..


Na pia ni haramu kwa vile kuna hasara 90 % na faida 10% ...kwa akili sio nzuri kutumia..


Pombe ni haramu sio nzuri kutumia kwani itakuwepelekea kweny madhambi ina maana pombe ikikupanda kichwani ikakipelekea ukamuua mtu basi hauna exception ya kusema ulikuwa hujitambua ,unaonekana umeua moja kwa moja.



Ukinywa pombe ukakosa aibu mpaka ukafanya uzinifu basi hauna msamaha hata useme ulikuwa hujielewi ,unatambulika umezini ..
 
Pombe sio dhambi ila ulevi unapelekea dhambi kwa asilimia kubwa ...Dhambi hizo ni shari (ugomvi) na madhara ya kimwili..


Na pia ni haramu kwa vile kuna hasara 90 % na faida 10% ...kwa akili sio nzuri kutumia..


Pombe ni haramu sio nzuri kutumia kwani itakuwepelekea kweny madhambi ina maana pombe ikikupanda kichwani ikakipelekea ukamuua mtu basi hauna exception ya kusema ulikuwa hujitambua ,unaonekana umeua moja kwa moja.



Ukinywa pombe ukakosa aibu mpaka ukafanya uzinifu basi hauna msamaha hata useme ulikuwa hujielewi ,unatambulika umezini ..
(1 Wakorintho 6:9-11).

Bali walevi... hawataurithi ufalme wa Mungu.

Endelea kujidanganya na kuhalalisha dhambi, utatupwa motoni live.

Mbinguni hawaingii walevi, tutakunywa Divai isochachuliwa, ni Juc type.
 
Ndo ujue kutofautisha Divai iliyochachuka na kufikia kuitwa pombe inayolewesha vs Divai inayonywewa kama Juc.
Kama haina kilevi hiyo si divai. Divai ina kilevi ni pombe. Kama haina kilevi tafuta jina lingine.
Screenshot_2024_0119_191159.png
 
(1 Wakorintho 6:9-11).

Bali walevi... hawataurithi ufalme wa Mungu.

Endelea kujidanganya na kuhalalisha dhambi, utatupwa motoni live.

Mbinguni hawaingii walevi, tutakunywa Divai isochachuliwa, ni Juc type.
Nionyeshe pombe ,elewa tofauti ya pombe na ulevi ...


Niambie sababu ya kwa nn ulevi umekatazwa?
 
Mimi sio mlokole na sisali kwake ila pombe sio dhambi,ulevi ni dhambi.Yesu kwenye harusi ya Kana alitengeneza divai na watu walikunywa,kila kitu kinapaswa kuwa kwa kiasi.Anaweza kuwa nabii wa uongo ila ameongea ukweli.
Safi sana
 
Salaam, Shalom!!

Baada ya Pope wa Katoliki kuwadissapoint waumini, Mzee wa Upako,kama anavyojiita, Tingatinga, ametoka hadharani na kuhalalisha pombe Kwa waumini wake.

Ameongea hayo madhabahuni kuwa, BIBLIA haijakataza pombe,Wala kulewa, BIBLIA imekataza ulevi.

Amedai kuwa pombe haijakatazwa kwenye BIBLIA, uliokatazwa ni ulevi, ndo sababu ulevi wa pombe ukazuiwa.

Kwa mliokuwa mnajiuliza mara mbili ikiwa Antony Lusekelo ni Nabii wa uongo au la, uamuzi ni wenu sababu naye ameonyesha RANGI zake halisi tena madhabahuni.

Ni suala la muda tu, manabii matapeli wote, watakiri hadharani kuwa wao Si watumishi wa Mungu, Bali matapeli.

Source: Upako wa Mzee Tv

KaribunišŸ™
Yesu alibadili maji kuwa divai je naye ni Yesu wa uongo?
 
Soma maandiko vizuriii......divai iliyotengenezwa na Yesu sio sawa na hizi pombe za sasa...Yesu ni Mtakatifu hawezi tengeneza kitu kitakachomuangamiza mtu
Nafikiri wewe ndiye unayepaswa kusoma vizuri maandiko. Tangu zamani divai imekuwa kinywaji cha kawaida. Kuna tofauti ya kunywa divai na kulewa. Yesu alikunywa divai lakini hakuwahi kulewa. Alikuwa na kiasi.

Mathayo 11: 19
Mwana wa binadamu alikuja akila na kunywa, lakini watu wanasema, ā€˜Tazama! Yeye ni mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya kodi na watenda dhambi.’ Hata hivyo, hekima huthibitishwa kuwa yenye uadilifu kupitia kazi zake
 
Pombe sio dhambi ila ulevi unapelekea dhambi kwa asilimia kubwa ...Dhambi hizo ni shari (ugomvi) na madhara ya kimwili..


Na pia ni haramu kwa vile kuna hasara 90 % na faida 10% ...kwa akili sio nzuri kutumia..


Pombe ni haramu sio nzuri kutumia kwani itakuwepelekea kweny madhambi ina maana pombe ikikupanda kichwani ikakipelekea ukamuua mtu basi hauna exception ya kusema ulikuwa hujitambua ,unaonekana umeua moja kwa moja.



Ukinywa pombe ukakosa aibu mpaka ukafanya uzinifu basi hauna msamaha hata useme ulikuwa hujielewi ,unatambulika umezini ..
 
Salaam, Shalom!!

Baada ya Pope wa Katoliki kuwadissapoint waumini, Mzee wa Upako,kama anavyojiita, Tingatinga, ametoka hadharani na kuhalalisha pombe Kwa waumini wake.

Ameongea hayo madhabahuni kuwa, BIBLIA haijakataza pombe,Wala kulewa, BIBLIA imekataza ulevi.

Amedai kuwa pombe haijakatazwa kwenye BIBLIA, uliokatazwa ni ulevi, ndo sababu ulevi wa pombe ukazuiwa.

Kwa mliokuwa mnajiuliza mara mbili ikiwa Antony Lusekelo ni Nabii wa uongo au la, uamuzi ni wenu sababu naye ameonyesha RANGI zake halisi tena madhabahuni.

Ni suala la muda tu, manabii matapeli wote, watakiri hadharani kuwa wao Si watumishi wa Mungu, Bali matapeli.

Source: Upako wa Mzee Tv

KaribunišŸ™
Ww unaonaje ni dhambi au sio dhambi?
Ni kosa kama kosa?
Na nini tofauti ya dhambi na kosa?
Ni hayo tuuh kwa sasa
 
Alibadili maji kuwa Divai isiyochachiliwa, ambayo Si pombe ni Juc.

Yesu ni Mungu, hawezi tengeza pombe.

Amen
Is wine a juice?

Yohana 2:9
[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knewšŸ˜‰ the governor of the feast called the bridegroom,
 
Ww unaonaje ni dhambi au sio dhambi?
Ni kosa kama kosa?
Na nini tofauti ya dhambi na kosa?
Ni hayo tuuh kwa sasa
(1 Corinthians 6:9-11)
Bali walevi,... Hawataurithi ufalme wa Mungu.
 
Alibadili maji kuwa Divai isiyochachiliwa, ambayo Si pombe ni Juc.

Yesu ni Mungu, hawezi tengeza pombe.

Amen
Ona sasa umeanza kuharibu tena. Yesu ni Mungu?

Yohana 20:17
Yesu akamwambia: ā€œAcha kuning’ang’ania, kwa maana bado sijapanda kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu, nawe uwaambie, ā€˜Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu na kwa Mungu wangu na Mungu wenu
 
Back
Top Bottom