MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Ulevi ni nini?(1 Corinthians 6:9-11)
Bali walevi,... Hawataurithi ufalme wa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulevi ni nini?(1 Corinthians 6:9-11)
Bali walevi,... Hawataurithi ufalme wa Mungu.
Acha Uongo na UjuajiDivai Si pombe.
Divai waliyokunywa haikuchachuliwa.
Hawakulewa. Nenda Israel hata Leo, divai hiyo utaikuta.
Kimbia haraka manabii fake,
Wapo manabii wa Kweli nenda kwao.
Juzi ametangaza hadharani tena madhabahuni kuwa Yeye ni chama la walevi.Jamaa anapiga tungi Mimi nimekaa sana jirani na kanisa lake Kuna siku laivu kabisa yupo tungi alikua anagombana na muuza chips mmoja ivi
Tupe andikoAlibadili maji kuwa Divai isiyochachiliwa, ambayo Si pombe ni Juc.
Yesu ni Mungu, hawezi tengeza pombe.
Amen
1 Corinthians 6:9-11)Tupe andiko
Huyu hajui chochoteDivai ni wine na wine ina kilevi ndani yake.
Kapitie upya maduhuli yako, sema kiwango cha kilevi ndani ya divai sio kikubwa kwa divai ambayo haijakaa muda mrefu.
Watu hunywa pombe Ili walewe!!Acha Uongo na Ujuaji
Divai = Mvinyo
Wine = Mvinyo
Kwahiyo, DIVAI = WINE
Ili iitwe Mvinyo ni lazima ichachushwe,
Vinginevyo ingeitwa maji ya mzabibu...mahali pengine Biblia ilitumia neno maji ya mzabibu kama haikuwa imechachushwa
Lakini kwa hapo ilikuwa ni Mvinyo, ILA Mvinyo ilikuwa inatumika kama Dawa ya tumbo na kuwezesha Digestion na mpaka leo hii Israel na ukanda wote wa Mediteranean wanatumia mvinyo kila baada ya kula chakula hasa nyama kwenye hafla na ilikuwa heshima
Utamaduni huo upo mpaka leo ukanda ule yaani nchi za SPAIN, ITALY, ISRAEL, GREECE, ROMANIA na zingine za Wakristo kasoro kina Palestina, Lebanon n.k
Nani hajui chochote, Lusekelo au Mimi?Huyu hajui chochote
konyagi zitammaliza 🐒Salaam, Shalom!!
Baada ya Pope wa Katoliki kuwadissapoint waumini, Mzee wa Upako,kama anavyojiita, Tingatinga, ametoka hadharani na kuhalalisha pombe Kwa waumini wake.
Ameongea hayo madhabahuni kuwa, BIBLIA haijakataza pombe,Wala kulewa, BIBLIA imekataza ulevi.
Amedai kuwa pombe haijakatazwa kwenye BIBLIA, uliokatazwa ni ulevi, ndo sababu ulevi wa pombe ukazuiwa.
Kwa mliokuwa mnajiuliza mara mbili ikiwa Antony Lusekelo ni Nabii wa uongo au la, uamuzi ni wenu sababu naye ameonyesha RANGI zake halisi tena madhabahuni.
Ni suala la muda tu, manabii matapeli wote, watakiri hadharani kuwa wao Si watumishi wa Mungu, Bali matapeli.
Source: Upako wa Mzee Tv
Karibuni🙏
Ila wale manabii wanaosema waumini waende na nywele hao ni wa kweli?Bado mnamsikiliza huyo tapeli? Shauri zenu. Alikuja nabii Tito na injili yake ya pombe mkamsupport ila alipojitangaza shoga mkamkimbia. Shauri zenu.
Haiwezi kuitwa Divai kama haijachachukaAlibadili maji kuwa Divai isiyochachiliwa, ambayo Si pombe ni Juc.
Yesu ni Mungu, hawezi tengeza pombe.
Amen
WeweNani hajui chochote, Lusekelo au Mimi?
Wa uongo pia hao.Ila wale manabii wanaosema waumini waende na nywele hao ni wa kweli?
Soma (Waefeso 5:18) na (1 Corinthians 6:9-11)Wewe
Wacha Uongo, Wine ni Dawa pia sio lazima kulewaWatu hunywa pombe Ili walewe!!
Acha chenga, kataa ulevi.
Hata dawa ya kikohozi ya mafua, Mucoline Ina Alcohol kama dawa, Si ulevi.1 Tim 5:23
Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako,l.
Tatizo watu siku hizi watu wanaabudu manabii na mitume wa mchongo badala ya kumuabudu MunguWa uongo pia hao.
Shetani amepandikiza magugu ndani ya shamba la ngano.
Ficha tu, Ukiwa mwenyewe unakunywa na kulewa vizuri tu.Wacha Uongo, Wine ni Dawa pia sio lazima kulewa
Mimi ninakunywa wine nusu glass kwaajili ya Digestion na ni dawa kwa wale wenye Constipation
Mpaka leo Waisrael wanatumia kwasababu hiyo
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app