A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

Divai Si pombe.

Divai waliyokunywa haikuchachuliwa.

Hawakulewa. Nenda Israel hata Leo, divai hiyo utaikuta.

Kimbia haraka manabii fake,

Wapo manabii wa Kweli nenda kwao.
Acha Uongo na Ujuaji

Divai = Mvinyo

Wine = Mvinyo

Kwahiyo, DIVAI = WINE

Ili iitwe Mvinyo ni lazima ichachushwe,

Vinginevyo ingeitwa maji ya mzabibu...mahali pengine Biblia ilitumia neno maji ya mzabibu kama haikuwa imechachushwa

Lakini kwa hapo ilikuwa ni Mvinyo, ILA Mvinyo ilikuwa inatumika kama Dawa ya tumbo na kuwezesha Digestion na mpaka leo hii Israel na ukanda wote wa Mediteranean wanatumia mvinyo kila baada ya kula chakula hasa nyama kwenye hafla na ilikuwa heshima

Utamaduni huo upo mpaka leo ukanda ule yaani nchi za SPAIN, ITALY, ISRAEL, GREECE, ROMANIA na zingine za Wakristo kasoro kina Palestina, Lebanon n.k
 
Jamaa anapiga tungi Mimi nimekaa sana jirani na kanisa lake Kuna siku laivu kabisa yupo tungi alikua anagombana na muuza chips mmoja ivi
Juzi ametangaza hadharani tena madhabahuni kuwa Yeye ni chama la walevi.
 
Divai ni wine na wine ina kilevi ndani yake.

Kapitie upya maduhuli yako, sema kiwango cha kilevi ndani ya divai sio kikubwa kwa divai ambayo haijakaa muda mrefu.
Huyu hajui chochote
 
Acha Uongo na Ujuaji

Divai = Mvinyo

Wine = Mvinyo

Kwahiyo, DIVAI = WINE

Ili iitwe Mvinyo ni lazima ichachushwe,

Vinginevyo ingeitwa maji ya mzabibu...mahali pengine Biblia ilitumia neno maji ya mzabibu kama haikuwa imechachushwa

Lakini kwa hapo ilikuwa ni Mvinyo, ILA Mvinyo ilikuwa inatumika kama Dawa ya tumbo na kuwezesha Digestion na mpaka leo hii Israel na ukanda wote wa Mediteranean wanatumia mvinyo kila baada ya kula chakula hasa nyama kwenye hafla na ilikuwa heshima

Utamaduni huo upo mpaka leo ukanda ule yaani nchi za SPAIN, ITALY, ISRAEL, GREECE, ROMANIA na zingine za Wakristo kasoro kina Palestina, Lebanon n.k
Watu hunywa pombe Ili walewe!!

Acha chenga, kataa ulevi.
 
Walevi wanaompambania mlevi mwenzao

Nyie mkiamua kulewa
Leweni tu bila kuanza kutafuta justification,
Fainali Kwa Mungu .
 
Salaam, Shalom!!

Baada ya Pope wa Katoliki kuwadissapoint waumini, Mzee wa Upako,kama anavyojiita, Tingatinga, ametoka hadharani na kuhalalisha pombe Kwa waumini wake.

Ameongea hayo madhabahuni kuwa, BIBLIA haijakataza pombe,Wala kulewa, BIBLIA imekataza ulevi.

Amedai kuwa pombe haijakatazwa kwenye BIBLIA, uliokatazwa ni ulevi, ndo sababu ulevi wa pombe ukazuiwa.

Kwa mliokuwa mnajiuliza mara mbili ikiwa Antony Lusekelo ni Nabii wa uongo au la, uamuzi ni wenu sababu naye ameonyesha RANGI zake halisi tena madhabahuni.

Ni suala la muda tu, manabii matapeli wote, watakiri hadharani kuwa wao Si watumishi wa Mungu, Bali matapeli.

Source: Upako wa Mzee Tv

Karibuni🙏
konyagi zitammaliza 🐒
 
Alibadili maji kuwa Divai isiyochachiliwa, ambayo Si pombe ni Juc.

Yesu ni Mungu, hawezi tengeza pombe.

Amen
Haiwezi kuitwa Divai kama haijachachuka

Ikishachachuka inaitwa Mvinyo

Divai ni Mvinyo

Isipochachuka inatwa Maji ya mzabibu au Juice

Yesu akitengeneza Divai ambayo ni Mvinyo lakini watu harusini hawakunywa kulewa
 

1 Tim 5:23​

Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako,l.
Hata dawa ya kikohozi ya mafua, Mucoline Ina Alcohol kama dawa, Si ulevi.

Hiyo ilitumika kama dawa, na wote Huwa tunatumia.
 
Wacha Uongo, Wine ni Dawa pia sio lazima kulewa

Mimi ninakunywa wine nusu glass kwaajili ya Digestion na ni dawa kwa wale wenye Constipation

Mpaka leo Waisrael wanatumia kwasababu hiyo

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Ficha tu, Ukiwa mwenyewe unakunywa na kulewa vizuri tu.

Dhamira Yako ni shahidi na itakushuhudia siku ya mwisho na kutupwa motoni.
 
Back
Top Bottom