Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Hujasoma kitu kama hiki kwenye chupa za wine za shampene, hasa zile kwenue sherehe mbslimbali; alcohl=0 Ma Mc huwa wanasaidia kusoma kwa wale wasiokunywa vileo waeleweZinaitwa fruits of Vine na sio wine mkuu...
Biblia imetaja wine na fruits of vine mara moja kwa yesu tu aliposema mbinguni kitakuwa na Hiyo fruits of vine!