A new member

A new member

Zero IQ
@behaviorst

GuDume
na wachakataji wote
Karibuni huku.

Binti usimsahau tajiri wetu wa hapa jf ni Kiduku Lilo
Ha ha ha 😁😁😁😁😁😁... Mwambie anitumie picha yake nimwone. Na umfahamishe mimi ndo mmiliki wa hii mitandao ya kijamii afahamu kabisa.asiponitreat vizuri nitamwondoa mitandao yote na kum block.


Kama ukipata tatizo lolote la ulozi mwambie Mshana Jr
King wa misimamo thabiti Kiranga
Huyu Zero IQ yeye anauza kiepe.
 
Ohooo kumbe, nimeogopaa[emoji30]
Usiogope mkuu,hivi vitu kawaida sana na inatakiwa uvizoee...cha msingi usimuamini mtu kwa mara ya kwanza eti kwasababu tu anajiweka kinamna flanii
Screenshot_20190917-213615.jpg
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] alikosea sana kukufundisha hilo neno, itakua Dada Wa watu kashindwa kuelewa kumbe Jf ndyo iko hivi
Hahaha mpaka leo huyo jamaa namuita indutu maana aliniambia alafu nikaongea kwa nguvu mbele ya watu nikashangaa watu wananiangalia kinoma huku jamaa anacheka hana mbavu
 
Mkuu unafikiri kila mtu anayejionesha kwako kuwa ni mshamba anakuwa mshamba kweli??...mwingine ili uingie kichwakichwa mazima lazima ajifanye mshamba kweli ujichanganye...Diwani athman kateuliwa juzi tu,usikute ndo kashaanza kazi hivi
πŸ˜‚πŸ˜‚ haya mambo yanawezekana! kwa pande zote mbili, anaweza kuwa ni mtu yupo kazini anatafuta watu wake au ni ugeni kweli. Ngoja tuone muda utaleta mrejesho maana humu mabaharia nao hawashindwi.
 
Ngoja niwahi PM kwa kasi ya 3x10⁸
[emoji44][emoji44][emoji44]
 
Back
Top Bottom