De Professor
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 237
- 505
- Thread starter
- #41
Wana wanahasira namimi wananiona moga nazinguaWewe ni mwanaume wa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana wanahasira namimi wananiona moga nazinguaWewe ni mwanaume wa kweli
Namba siku save maana alinitumia nikiwa nishajua huyu sio so sikuizingatia kusave wakat na delete conversations nayo ikaenda ila hata nisingefuta dah sidhani kama ningei display public maana isingekua poa
😂😂😂😂😂😂Kamati itakuita kesho uje upewe adhabu..... Wewe hujishangai wote wanaokusifia ni wanaWake! Wewe ni Muhuni mwenzetu ndo maana ulikuwa tayari kuchepuka ila naona vigezo vya mchepuko uliyekuwa unamtaka ndo havijakidhi
Kwamba unahisi nitaghadhabika na kauli hii!!! Ukweli unajulikana kuwa nguvu hamnazoYou must have done some good research. I wonder how large your sample size was!
Wewe unahisi nimeghadhabika?U
Kwamba unahisi nitaghadhabika na kauli hii!!! Ukweli unajulikana kuwa nguvu hamnazo
Wewe unahisi nimeghadhabika?
What does a man of class have to do with this?Nikiri wazi kale ka uzi Pendwa ka vijana wakati mwingine kana hamasisha na unaeza kuwa mtaani na mambo yako ukikumbuka tu JF unasema eemu ngoja nitest zari.
Kwa kifupi last 2 weeks nilikua napita pita tik tok kuna mdada kiukweli ni pisi hatar nilikua namfatilia kwa week kadhaa huwa anapenda kuwa live namtext anajibu, Badae nikasema ngoja nimuibukie inbox kweli bhana kule mambo yaka tik tukawa tunachat nikakumbuka kale ka uzi nikasema ngoja nitest zari.
Eish bahati mbaya nilizifuta zile chart kuhofia wife asije kuzinasa nikaleta zengwe, ila ilikua hivi kwanza nilienda direct nikamwambia huwa namuelewa napenda sana navyomuona live tiktok hadi nimetamani kumuona live face to face afu nikamwambia huwa natamani kuchat nayeye ila tunapishana maana hatuwi online kwa muda sawa..Demu akaanza kucheka cheka kwa emoji na kusema kweli ?? Nikamkoleza akanipa namba zake then akasema sasahiv nipo Sinza nitakuwepo hadi kesho kutwa then naondoka nikapata swali kwani unaishi wapi akasema anaishi mwanza. Sasa hapo ndo machale yakanicheza Sinza? Nikamuuliza upo kwa ndungu? Akasema amefikia lodge shubaah mit hapo ndo wazo la kuchakata likakatika.
Niliwaza haya kama sasahiv nachat nae yupo lodge je kabla yangu kachat na wangapi akawapa time? Afu how comes mtu atoke mwanza hadi Dar eti bila mchongo wowote amekuja kutulia tu? Na sehemu yenyewe Sinza- kwa Mugabe nikakumbuka zile stor na hali halisi ya machangu walivyo jaa Sinza nikaona ooh huyu ni muuzaji ila ame develop anajiweka kama wakufugwa.
Aliniambia kesho niende kumtembelea, mi sikwenda afu baada ya siku 3 nikamcheki akajifanya amewaka kwanini nimemrusha sikwenda. Nikamtuliza tuliza badae akakubali ila akasema nakupiga fine nitumie cha 10 haha hapo ndo nikazidi ku concludes huyu ni muuzaji 100%.
Niwape challenges vijana wangu. Hakuna malaya anaechapwa ki masihara niwewe ndio unachapwa ki masihara, sasa mfano mimi nilitest zari nikapewa inshu nimimi ningetimba na ningepiga mzigo nikaja kusimlia huku nimepiga ki masihara kumbe nimekula malaya, na huenda ningegharimika launch ama Dinner na kibomu juu wakati wa kuondoka.
Natamani ningekua sijazifuta chart ninge screenshot muone ilivyokua.
Finally:- kuna mabinti utakula ujisifu sijui nimemkuta club au Bar au kwenye daladala nikampapasa mara tukenda chops nikala afu mwenyewe unajua ni masihara kumbe umeliwa mzee mwenzio alikua mawindoni.
So, mimi niligoma kuliwa ki masihara, najua kuna watu nawao walitaka kuletewa pigo za hivi wakashtukia na kutosea mzigo hawa sasa ndo really Men yani unaeza pewa nyapu na ukajizuia sio kila sehemu unachovya.
HANA HELA MSHAURI ATAFUTE PESASijaelewa ulichohofia apo,
Umemtuhumu Ni Malaya,Ila Hamna kokote ulikothibitisha madai yako ni Malaya kwny hili bandiko.
Nilichoona Apo,
Faini ya Elfu 10 Ndo imekukimbiza.
Afu Kama Ni mzoefu wa Hawa wadada, mkishazoeana anaweza kutamka kitu tu kimasihara kuboresha ukaribu wenu. Ila wewe sasa ukachukulia too serious.
Hizo ishu za kusema nakupiga fain ya Kias kadhaa ishanikuta Sana humu JF na friends Wangu wengi wa kike nnapochelewa kujibu pm zao,
Na sio kwamba Wanamaanisha serious uwalipe iyo faini yao au Wanamaanisha wanauza.
Bali Ni story TU za kuchangamsha genge maisha yaende na kamwe siwez kujudge na kuhitimisha kwamba wadada Hawa wanauza.
Wito Wangu mkuu,
Badilisha kwanza iyo negative mindset ulonayo pale unapopiga story na wadada wa mitandaoni.
Ukiiendekeza itakupa shida Sana kusocialize na watu mitandaoni, maana MDA wote utahisi unapigwa TU kumbe Ni utani wa kawaida[emoji4]
Nawasilisha[emoji120]
MWENYEKITI kasema.Sijaelewa ulichohofia apo,
Umemtuhumu Ni Malaya,Ila Hamna kokote ulikothibitisha madai yako ni Malaya kwny hili bandiko.
Nilichoona Apo,
Faini ya Elfu 10 Ndo imekukimbiza.
Afu Kama Ni mzoefu wa Hawa wadada, mkishazoeana anaweza kutamka kitu tu kimasihara kuboresha ukaribu wenu. Ila wewe sasa ukachukulia too serious.
Hizo ishu za kusema nakupiga fain ya Kias kadhaa ishanikuta Sana humu JF na friends Wangu wengi wa kike nnapochelewa kujibu pm zao,
Na sio kwamba Wanamaanisha serious uwalipe iyo faini yao au Wanamaanisha wanauza.
Bali Ni story TU za kuchangamsha genge maisha yaende na kamwe siwez kujudge na kuhitimisha kwamba wadada Hawa wanauza.
Wito Wangu mkuu,
Badilisha kwanza iyo negative mindset ulonayo pale unapopiga story na wadada wa mitandaoni.
Ukiiendekeza itakupa shida Sana kusocialize na watu mitandaoni, maana MDA wote utahisi unapigwa TU kumbe Ni utani wa kawaida[emoji4]
Nawasilisha[emoji120]
Nikiri wazi kale ka uzi Pendwa ka vijana wakati mwingine kana hamasisha na unaeza kuwa mtaani na mambo yako ukikumbuka tu JF unasema eemu ngoja nitest zari.
Kwa kifupi last 2 weeks nilikua napita pita tik tok kuna mdada kiukweli ni pisi hatar nilikua namfatilia kwa week kadhaa huwa anapenda kuwa live namtext anajibu, Badae nikasema ngoja nimuibukie inbox kweli bhana kule mambo yaka tik tukawa tunachat nikakumbuka kale ka uzi nikasema ngoja nitest zari.
Eish bahati mbaya nilizifuta zile chart kuhofia wife asije kuzinasa nikaleta zengwe, ila ilikua hivi kwanza nilienda direct nikamwambia huwa namuelewa napenda sana navyomuona live tiktok hadi nimetamani kumuona live face to face afu nikamwambia huwa natamani kuchat nayeye ila tunapishana maana hatuwi online kwa muda sawa..Demu akaanza kucheka cheka kwa emoji na kusema kweli ?? Nikamkoleza akanipa namba zake then akasema sasahiv nipo Sinza nitakuwepo hadi kesho kutwa then naondoka nikapata swali kwani unaishi wapi akasema anaishi mwanza. Sasa hapo ndo machale yakanicheza Sinza? Nikamuuliza upo kwa ndungu? Akasema amefikia lodge shubaah mit hapo ndo wazo la kuchakata likakatika.
Niliwaza haya kama sasahiv nachat nae yupo lodge je kabla yangu kachat na wangapi akawapa time? Afu how comes mtu atoke mwanza hadi Dar eti bila mchongo wowote amekuja kutulia tu? Na sehemu yenyewe Sinza- kwa Mugabe nikakumbuka zile stor na hali halisi ya machangu walivyo jaa Sinza nikaona ooh huyu ni muuzaji ila ame develop anajiweka kama wakufugwa.
Aliniambia kesho niende kumtembelea, mi sikwenda afu baada ya siku 3 nikamcheki akajifanya amewaka kwanini nimemrusha sikwenda. Nikamtuliza tuliza badae akakubali ila akasema nakupiga fine nitumie cha 10 haha hapo ndo nikazidi ku concludes huyu ni muuzaji 100%.
Niwape challenges vijana wangu. Hakuna malaya anaechapwa ki masihara niwewe ndio unachapwa ki masihara, sasa mfano mimi nilitest zari nikapewa inshu nimimi ningetimba na ningepiga mzigo nikaja kusimlia huku nimepiga ki masihara kumbe nimekula malaya, na huenda ningegharimika launch ama Dinner na kibomu juu wakati wa kuondoka.
Natamani ningekua sijazifuta chart ninge screenshot muone ilivyokua.
Finally:- kuna mabinti utakula ujisifu sijui nimemkuta club au Bar au kwenye daladala nikampapasa mara tukenda chops nikala afu mwenyewe unajua ni masihara kumbe umeliwa mzee mwenzio alikua mawindoni.
So, mimi niligoma kuliwa ki masihara, najua kuna watu nawao walitaka kuletewa pigo za hivi wakashtukia na kutosea mzigo hawa sasa ndo really Men yani unaeza pewa nyapu na ukajizuia sio kila sehemu unachovya.
Mkuu upendwe na demu tiktok ambae kutwa kucha anajibinua na kutikisa makalio, ukimcheki ana tattoos kifuani na mkononi? Mbaya zaidi katoka mwanza na anaishi lodge sinza kwa mugabe...hahaaaMi Nadhan ungempa TU iyo elfu 10,
Ukaenda ukaonana nae, Kisha Ndo ungekuja na full package Ni jins gan anajiuza.
Sasa mtu hata ujakutana nae,
Akakwambia anajiuza kwa Bei gan, ukapata mawili matatu kutoka kwake.
Unakuja vipi speed kuhitimisha kua anajiuza?
Vipi je Kama nae alishakupenda anataka uje kua mme wake?
Kwamba utavaa ndom hadi ya mdomoni pia ama?Hao wa hivyo wengi tu hizo ni pigo za Badoo unamuuliza anakwambia yupo location , lodge ...na hii trick mademu wengi wanatumia kwa sasa kujua yupi anajiuza na yupi hajiuzi kazi ipo ....kikubwa ni kuvaa ndom tu na hakikisha mfuko WAKO uko vizuri
sent from HUAWEI
Afadhari wewe umeelewa nazungumzia nini japo muhusika si huyu ila hana tofauti na haiba ya hawa unaowataja na kuwafananishiaUnamzungumzia rahima princess?
Ni hivi huyo ni changu, biashara zao ni mwanza, dar,dodoma,zenji na Arusha. Kwa Dar utawapata wengi Sinza kwa mugabe au madukani na pia maeneo ya tabata. Mafikio yao ni kwenye Lodges!! Wanakodi vyumba kwa wiki au mwezi kabisa. Ukijilengesha insta au tiktok , unaelewana nae unaenda kupiga mzigo, uzuri ni kuwa hulipii pesa ya lodge. Pia ukijifanya una care sana lazima upasuke kumtoa dinner au lunch. Hao wapo kibiashara tu , usiingie kwa gia ya kumpenda au kumtongoza awe mpenzi wako
Tatizo sio pesa mjomba, pesa kitu gani kwani ukiwa na Pesa ndio unatafuna kila kitu hadi taka taka ? Kwamimi siwezi sex na mtu anaefanya biashara ya ngono yani haitatokeaHANA HELA MSHAURI ATAFUTE PESA