A real man should have class: Nilivyoshindwa kula kimasihara

A real man should have class: Nilivyoshindwa kula kimasihara

Alikuwa anataka Akajitambulishe kwao itakuwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] amuoee kabisa.

Kuhusu umalaya wa wanawake bora ujue anajiuza kieleweke kuliko hawa wakuomba pesa kila siku alafu anakuzungusha.
Mi nilijua mtoto wa geti kale ivi au sista duu wale wanaofungiwa ili nikimpata walau namimi nitambe ...mwee kumbe cha wote
 
Mi nilijua mtoto wa geti kale ivi au sista duu wale wanaofungiwa ili nikimpata walau namimi nitambe ...mwee kumbe cha wote
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Mwanamke ukimjua vizuri huwezi date nar
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Mwanamke ukimjua vizuri huwezi date nar
Sasa hilo ndo kosa huyu alinipa nafasi ya kumjua mapema walau angesema yupo kwa sister then mimi ndio nimpange aje lodge sio mwenyewe kajitega kibra 😄
 
Sasa hilo ndo kosa huyu alinipa nafasi ya kumjua mapema walau angesema yupo kwa sister then mimi ndio nimpange aje lodge sio mwenyewe kajitega kibra 😄
Usitegemee kupata mwanamke wa maana tiktok au insta especially hao wanaobinua binua makalio yao.Wapo kibiashara zaidi wanawinda vichwa
 
Naomba namba PM nimcheki akiwa Mwanza..kila mtu saivi anajiuza tofauti ni mode of the business na means of exchange tu
 
Uoga tu na insecurities zako. Kama ungekua huna plan kabisa ya kupiga hiyo nyapu usingeenda inbox huko and usingekwepa mke wako asijue and all that.
This is more of a "sizitaki mbichi hizi" story. Kama kweli wewe ni real negro, u wouldnt start goin into girls DM's while u married. Ungemweka huyo mke wako Tik tok ili uwe unamwangalia vizuri zaidi.
The fact kwamba ulimfata huyo mams inbox n kumwambia unamfeel n ol that inakufanya wewe uwe malaya kama yeye tu. Stop judging her as if u r clean.
Unamfuataje Malaya kama wewe sio Malaya ? Only god can judge.
 
Nishamjua huyo. Nishapita nae ana kiduka cha nguo mwanza anauza K telegram na ana account tik tok akija dar anapenda kufikia sinza mugabe mbezi ya kimara au tabata mawenzi
 
Nishamjua huyo
Nishapita nae ana kiduka cha nguo mwanza anauza K telegram na ana account tik tok akija dar anapenda kufikia sinza mugabe mbezi ya kimara au tabata mawenzi
Hahahahhah..huyo anaitwa nani?
 
Mkuu mi nimeanza kutumia mitandao ya kijamii muda kidogo nadhani fb nimejiunga 2011 miez ya mwanzoni enzi hizo ukikuta friend request ya mdada hulali [emoji1]. Na nime socialize na wadada wengi tunacheka na kutaniana vya kutosha na wengine hata kuchat ujinga ujinga wa sex ila sio kwa huyu.
Afu nilichotaka kueleweka ni kwamba kuna wadada wapo Tiktok kama sehemu ya kazini mimi ni mtu mzima naelewa ama nikitaka kukuonesha nina uhakika na hiki naeza kuendeleza conversation nae afu mwisho wa siku utaniambia kama sio elfu 10 sio tabu mbona inbox tunapigwa vibomu sana na best zetu wa kike na nisawa.
Itoshe kusema mi silazimishi uniamini au ukubaliane na uzi wangu.
You don't need ni man's proof...every person ana misimamo yake. Usihangaike ku proove watakushinda kwa experience za misimamo yao.
Keep it up [emoji123]
 
You don't need ni man's proof...every person ana misimamo yake. Usihangaike ku proove watakushinda kwa experience za misimamo yao.
Keep it up [emoji123]
Pamoja mkuu, nahisi vijana wengi wamepotwza uwezo wa ku resist inapofika swala la ngono yani mtu yeyote sawa tuu imradi ana jinsia Ke
 
Mi nilijua mtoto wa geti kale ivi au sista duu wale wanaofungiwa ili nikimpata walau namimi nitambe ...mwee kumbe cha wote
Ulijuaje cha wote? Kisa kakuambia yupo lodge au ni vipi? Angekuambia yupo kwao (hiyo geti kali uliotaja) ndio ungejipa imani kuwa katulia?? Unaweza kutana na mwanamke akaonesha signs zote kwamba ni mtulivu na kumbe ndio mama lao kwa umalaya.Usimjudge mtu kwa namna hiyo.
 
Ulijuaje cha wote? Kisa kakuambia yupo lodge au ni vipi? Angekuambia yupo kwao (hiyo geti kali uliotaja) ndio ungejipa imani kuwa katulia?? Unaweza kutana na mwanamke akaonesha signs zote kwamba ni mtulivu na kumbe ndio mama lao kwa umalaya.Usimjudge mtu kwa namna hiyo.
😃
 
Mkuu mi nimeanza kutumia mitandao ya kijamii muda kidogo nadhani fb nimejiunga 2011 miez ya mwanzoni enzi hizo ukikuta friend request ya mdada hulali [emoji1]. Na nime socialize na wadada wengi tunacheka na kutaniana vya kutosha na wengine hata kuchat ujinga ujinga wa sex ila sio kwa huyu.
Afu nilichotaka kueleweka ni kwamba kuna wadada wapo Tiktok kama sehemu ya kazini mimi ni mtu mzima naelewa ama nikitaka kukuonesha nina uhakika na hiki naeza kuendeleza conversation nae afu mwisho wa siku utaniambia kama sio elfu 10 sio tabu mbona inbox tunapigwa vibomu sana na best zetu wa kike na nisawa.
Itoshe kusema mi silazimishi uniamini au ukubaliane na uzi wangu.
Mkuu, Vita ya kushambulia MENTALITY za ngono zembe Ni mbaya, zaidi ya Vita vya uchumi,
Na huo ndio ukweri!
Hapo tegemea mashambulizi zaidi kutoka kwa wazee wa "kula tunda kimasihara"
 
Mkuu, Vita ya kushambulia MENTALITY za ngono zembe Ni mbaya, zaidi ya Vita vya uchumi,
Na huo ndio ukweri!
Hapo tegemea mashambulizi zaidi kutoka kwa wazee wa "kula tunda kimasihara"
Nimekuelewa zaidi aise
 
Back
Top Bottom