A real man should have class: Nilivyoshindwa kula kimasihara

Mi nilijua mtoto wa geti kale ivi au sista duu wale wanaofungiwa ili nikimpata walau namimi nitambe ...mwee kumbe cha wote
 
Mi nilijua mtoto wa geti kale ivi au sista duu wale wanaofungiwa ili nikimpata walau namimi nitambe ...mwee kumbe cha wote
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Mwanamke ukimjua vizuri huwezi date nar
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Mwanamke ukimjua vizuri huwezi date nar
Sasa hilo ndo kosa huyu alinipa nafasi ya kumjua mapema walau angesema yupo kwa sister then mimi ndio nimpange aje lodge sio mwenyewe kajitega kibra 😄
 
Sasa hilo ndo kosa huyu alinipa nafasi ya kumjua mapema walau angesema yupo kwa sister then mimi ndio nimpange aje lodge sio mwenyewe kajitega kibra 😄
Usitegemee kupata mwanamke wa maana tiktok au insta especially hao wanaobinua binua makalio yao.Wapo kibiashara zaidi wanawinda vichwa
 
Naomba namba PM nimcheki akiwa Mwanza..kila mtu saivi anajiuza tofauti ni mode of the business na means of exchange tu
 
Unamfuataje Malaya kama wewe sio Malaya ? Only god can judge.
 
Nishamjua huyo. Nishapita nae ana kiduka cha nguo mwanza anauza K telegram na ana account tik tok akija dar anapenda kufikia sinza mugabe mbezi ya kimara au tabata mawenzi
 
Nishamjua huyo
Nishapita nae ana kiduka cha nguo mwanza anauza K telegram na ana account tik tok akija dar anapenda kufikia sinza mugabe mbezi ya kimara au tabata mawenzi
Hahahahhah..huyo anaitwa nani?
 
You don't need ni man's proof...every person ana misimamo yake. Usihangaike ku proove watakushinda kwa experience za misimamo yao.
Keep it up [emoji123]
 
You don't need ni man's proof...every person ana misimamo yake. Usihangaike ku proove watakushinda kwa experience za misimamo yao.
Keep it up [emoji123]
Pamoja mkuu, nahisi vijana wengi wamepotwza uwezo wa ku resist inapofika swala la ngono yani mtu yeyote sawa tuu imradi ana jinsia Ke
 
Mi nilijua mtoto wa geti kale ivi au sista duu wale wanaofungiwa ili nikimpata walau namimi nitambe ...mwee kumbe cha wote
Ulijuaje cha wote? Kisa kakuambia yupo lodge au ni vipi? Angekuambia yupo kwao (hiyo geti kali uliotaja) ndio ungejipa imani kuwa katulia?? Unaweza kutana na mwanamke akaonesha signs zote kwamba ni mtulivu na kumbe ndio mama lao kwa umalaya.Usimjudge mtu kwa namna hiyo.
 
😃
 
Mkuu, Vita ya kushambulia MENTALITY za ngono zembe Ni mbaya, zaidi ya Vita vya uchumi,
Na huo ndio ukweri!
Hapo tegemea mashambulizi zaidi kutoka kwa wazee wa "kula tunda kimasihara"
 
Mkuu, Vita ya kushambulia MENTALITY za ngono zembe Ni mbaya, zaidi ya Vita vya uchumi,
Na huo ndio ukweri!
Hapo tegemea mashambulizi zaidi kutoka kwa wazee wa "kula tunda kimasihara"
Nimekuelewa zaidi aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…