A serious woman to Marry is needed

Basi jiandae maana vitakushukia kama vyote na hutarudisha hata kimoja 🏃🏃🏃
 
NB:A woman with a kid Will be concidered too but only if she will be Able to adhere to my conditions regarding her kid’s papa.
Na hapa ndo utakaponaswa ili itimie ile kauli ya wahenga kuwa "Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.."

Singo mom akiolewa tu, mapenzi kati yake na mpenzi wake (mzazi mwenzie) huwa yanarejea kwa kasi ya 5G
 
Vipi na mke anaruhisiwa najua munaongea kizungu kama hiki mnapesa sana, nikuachie wife ili mtoto watu apate elimu nzuri ya garama kubwa, au utakataa kumsomesha mtoto wangu.
 
Na hapa ndo utakaponaswa ili itimie ile kauli ya wahenga kuwa "Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.."

Singo mom akiolewa tu, mapenzi kati yake na mpenzi wake (mzazi mwenzie) huwa yanarejea kwa kasi ya 5G
AKirogwa halali yake
 
Vipi na mke anaruhisiwa najua munaongea kizungu kama hiki mnapesa sana, nikuachie wife ili mtoto watu apate elimu nzuri ya garama kubwa, au utakataa kumsomesha mtoto wangu.
kwa bahati mbaya sana sijawahi kuwa mtu wa mzaha.Ahsante!
 
Ila hizi mambo zinatugawa sana. Mimi tu kuna makabila nimeyakataa kabisa kabisa. Nadhani ingekua poa sana tungekua tunaoana wenyewe kwa wenyewe.
kwahiyo mmeanzisha uzi juu ya uzi,mimi sibagui makabila isipokuwa nafanya hivyo kutokana na status ya mimi,mfano mnyakyusa anawivu sana hawezi kuishi na watoto ambao si wakuwazaa kama familia,wangoni hawapendi ndugu wa mwanaume na wanapenda ngono hawawezi kuvumilia ,mhaya yeye huwa haridhiki sawa na mnyaturu,mjita ni mtu anapenda aongee yeye tu na huwa hayaoni makosa yake sawa na mkurya
 
duh yawezeka ndoa si fungu langu, mie yaani huwezi amini umri na kabila vimenikosesha mume, basi aje ajuza mwenzangu tuyajenge nasisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…