A serious woman to Marry is needed

A serious woman to Marry is needed

kwahiyo mmeanzisha uzi juu ya uzi,mimi sibagui makabila isipokuwa nafanya hivyo kutokana na status ya mimi,mfano mnyakyusa anawivu sana hawezi kuishi na watoto ambao si wakuwazaa kama familia,wangoni hawapendi ndugu wa mwanaume na wanapenda ngono hawawezi kuvumilia ,mhaya yeye huwa haridhiki sawa na mnyaturu,mjita ni mtu anapenda aongee yeye tu na huwa hayaoni makosa yake sawa na mkurya
Sawa rafiki.
 
kwahiyo mmeanzisha uzi juu ya uzi,mimi sibagui makabila isipokuwa nafanya hivyo kutokana na status ya mimi,mfano mnyakyusa anawivu sana hawezi kuishi na watoto ambao si wakuwazaa kama familia,wangoni hawapendi ndugu wa mwanaume na wanapenda ngono hawawezi kuvumilia ,mhaya yeye huwa haridhiki sawa na mnyaturu,mjita ni mtu anapenda aongee yeye tu na huwa hayaoni makosa yake sawa na mkurya
😀😀😀 mimi sipo interested na uzi ila hii comment imenifanya nilie sana baada ya kukumbuka mimi ni mhaya+mnyaturu 🤣🤣🤣
 
Atakua ameona ajitolee kuokoa jahazi mana wadada tusioolewa mnatutukana sana.
....wakifuatia na single mother 😎😎
Screenshot_20241017-180241.jpg
 
Back
Top Bottom