Ila wakipata nafasi ndio wezi wakubwa mafisadi wa kodi zetu maana wizi upo damuniHayo ni matukio ya juzi Sana between 1998 mpaka 2000++ kumbuka kampuni ya kwanza ya Simu za mikononi Tz ilikuwa Tritel ambayo ilianza kama sikose 90++ au early 20++. Ila katika Hawa waliotajwa wote kwa Sasa wanajificha kwenye mwamvuli wa Chama tawala wakiwa walinzi wa chama
alikuwa na FIAT moja 682 box Bdi limeandikwa Jombi. baadae alikwenda kuishi Zambia akarejea akiwa mchovu tu maana vijana wake wengi walishamalizwa.Block t alivamia pale kwenye kota za Danish aid
Nje pembeni mwa getini pale nakumbuka kulikuwa na mama mmja wa kizungu mdanish alikuwaga na genge anauza mboga,ndani alitengenezaga Garden moja matata sana
Naye alikuwa mhanga,
Pale kamera ziliwachukua jombi alikaliWa kuti kavu maana ubalozi walikomalia sana kesi yake
Kwa kifupi jamaa alikuwa mpumbv miguvu mingi
Akili hana,jombi si alikuwaga na garage yk pale soweto(nshawahi kumuwasha 20000 kpindi kile)
Ova
Mwenye uzi wake apandishe tulijue hili jambazi staafu lililojificha kwenye chama cha majizi.Na Yule Kitana wa Mwanza vipi story zake?
Pia ukimwi ulimtafuna,alikuwa na FIAT moja 682 box Bdi limeandikwa Jombi. baadae alikwenda kuishi Zambia akarejea akiwa mchovu tu maana vijana wake wengi walishamalizwa.
Kamanda Sanya aliyashughulikia sana majizi ya Mbeya hadi ikawa shwali.Jombi, Tunyande, Masoli, Mtega a.k.a Kisangani, na vijana wao hatari sana Charles Tende, BOOB G, Mophat walitisha sana. ukimiliki VX unalazimika kuwalipa kodi ya ulinzi ili wasilichukue. Siitamani ile Meya ya hao jamaa.
Laurean Sanya alibuni njia ngumu sana na ilipokubalika Kawetere (msituni) ikawa Guantanamo ya aina yake ya majambaziKamanda Sanya aliyashughulikia sana majizi ya Mbeya hadi ikawa shwali.
Nakumbuka alikuwaga na range model lile la nyuma sanaaa...alikuwa na FIAT moja 682 box Bdi limeandikwa Jombi. baadae alikwenda kuishi Zambia akarejea akiwa mchovu tu maana vijana wake wengi walishamalizwa.
Sanya aliwanyoosha sanaLaurean Sanya alibuni njia ngumu sana na ilipokubalika Kawetere (msituni) ikawa Guantanamo ya aina yake ya majambazi
Ndiyo hivyo Mkuu ,Rose (Rozii) mke wa kwanza wa Sadik Mkindi siku hizi anaokota makopo mtaani amekua kama teja, ila ukikaa nae anakupa story zote za enzi zao.
Mchicha mwiba ndiko Msando alikotajirikia maana alimfundisha michongo ya town na alikuwa mtu wake wa karibu sana.Alikua Ana mega na kumegwa
Hahaha naskia alijirusha gorofaniHuyu wakili wa majambazi sina taarifa zake.
Alisoma Ili awatete majambazi
Kifo cha jamaa hawa mbona kama kuna ile chain fulani ilipukutikaTANZIA: Wakili maarufu Nyaga Mawalla afariki dunia
Mkuu Kibanga, Wakati nikiwa ni mtoto wa Ilala, katika kuhangaika na maisha huku na kule, nikajikuta niko jijini Rome, nchini Italia!. Binadamu ni mzima leo kesho hujui utakuwaje!. Huku na huko, si nikaugua ghafla!, nikakimbizwa hospital huku sina bima!. Nilihudumiwa huduma ya kwanza tuu ili...www.jamiiforums.com
Laana ya damu za watu.Hahaha naskia alijirusha gorofani
Huko Nai!
Kifo cha jamaa hawa mbona kama kuna ile chain fulani ilipukutika
Maana hata sambeki alikufa kiajabuajabu
Ova
Walifanya kitendo cha kinyama sanaWengi walilindwa na Marpc enzi hizo. Ishu ya jombi ubalozi wa Denmark ulitishia kufunga ofisi nao ndipo serikali ikaingilia Kati akabadilishwa RPC akamsambaratisha jombi na majambazi mengi kina tunyande nk.
Ajali ya ndege,kwenye kutua hakulenga vizuriSambeke alikufaje