A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Ali na Ali wa block T alikuwa tapeli aliyejifichia kwenye uganga, kawapiga Sana zambia, south africa, alikuwa anakutupia ugonjwa kisha anawatuma vijana wake wanafanya wawezavyo kuunga urafiki na ndugu au mtu wa karibu na mngonjwa Ili wakushawishi kuna mganga sehemu wakupeleke upate tiba. Ukienda anayatoa matakataka yake unakuwa mzima unampa pesa nyingi tu.
Staili zile za tapeli manyau nyau mganga brazamen aliye wapiga pesa wengi anafukia kitu kisha wanakuja kuagua kisha wanafukua chini kitu unatishika eti umelogwa unatoa pesa wanaishi mjini.
 
Aise,huyo sikumpata maana mbeya nlikaa miaka 2 nkasepa ila nlishi blok T

Ova
 
Aise kumbe hii Chuga etuu ilikuwa ni kwere sana baba etu ..sisi machali wa juzi kati apo tu amna kitu tunaelewa asee ..inafaa kitabu kiandikwe kuelezea historia nzima ya chuga aise na ifundishwe mashuleni kabisa ile machali hawa wapya wa 2005 kiendelea waelewe ni wapi mji wao umetoka na ni wapi ulipo nna unapoelekea areef..!!?
 
Ili mlianzishe upya sio madai yenu Aluta Continua
 
Damu za watu, machozi ya wajane na yatima majambazi huwa yanakufa vifo vya laana.
Enzi za gewe dar alikuwepo jambaz mmja anaitwa "dar break"alisumbua sana
Wakat wake ulipofika wazee walimuondoaa
Enzi hizo TZR ndio zinaanza

Ova
 
Kindei wa Esso huyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…