A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Juma Kipisi kama nilimuona na Sabaya mwaka juzi pale Arusha wamekua mabest sijui ndo alimfundisha mbuni za ku deploy
 
Wazungu aliwaulia Mbeya Block T huko,wala sio MANYARA
 
Wazungu aliwaulia Mbeya Block T huko,wala sio MANYARA
Block t alivamia pale kwenye kota za Danish aid
Nje pembeni mwa getini pale nakumbuka kulikuwa na mama mmja wa kizungu mdanish alikuwaga na genge anauza mboga,ndani alitengenezaga Garden moja matata sana
Naye alikuwa mhanga,
Pale kamera ziliwachukua jombi alikaliWa kuti kavu maana ubalozi walikomalia sana kesi yake
Kwa kifupi jamaa alikuwa mpumbv miguvu mingi
Akili hana,jombi si alikuwaga na garage yk pale soweto(nshawahi kumuwasha 20000 kpindi kile)

Ova
 
Alikula witi ya wale wazungu aisee.alikua na kikosi cha vijana wa kutumwa kazi,very aggressive.
 
e
 
We ni wa nguzo mbili aisee,ila omary manjiwa alikuwa anadili na vi issue vidogo vidogo tu kama simu,cheni za dhahabu nk,babaa kisioki alikufa kwa ajali ya gari nairobi,alikodushwa na jamaa mmoja jirani yao akamletee gari,akafariki huko.
 
Yah!wakati ule ukienda chunya Ukipita mbuyuni au makongorosi kulikuwa na utekaji sana
Huko nlifanya sana ukonda kwenyw canter gari
Tushakutana sana na sinema za kutosha

Ova
Sasa we mrangi issue zote za mijini unazijua,tena kiundani kabisa,siyo dar,siyo arusha,siyo mbeya,mwanza nk,kweli we mtoto wa mjini.salute
 
Sijui kwanini Arusha karibu kila mtu anapiga ganja,
Tena kuna mitaa wanawasha hadharani na wala hawana habari. Hapa ni kama imehalalishwa vile.
Mchicha wa kutoka Nairobi ndo unaambiwa zina stimu mbaya 😋😋.
 
Maisha tu mzee
Kwenye pilika unakutana
Na mambo mengi, ndomana sahv tumeamua
Kujituliaa tu

Ova
Ujana unafanya kila kitu, ikifika time mtu unatulia zako tu,mtu unaangalia vijana wanavyokimbizana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…