kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Nmekumiss member wangu PendwaAah hiyo yote sababu ni job security ama? Kama anahitaji hivo aende serikalini ila mimi ningeendelea huko private ,tofauti ya mshahara ni 2times duh
Same here Mr. Spider, habari ya huko?Nmekumiss member wangu Pendwa
Huku salama za uko ulipoSame here Mr. Spider, habari ya huko?
Ila mkataba ukiisha unapata kapresha presha hivi, unahofia sijui tutarenew or not aahMimi siaminii hio job security sijui hua najiamini nini ila mimi na mikataba dam dam
Mkuu wewe unafanya kazi gani?Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6,kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross..kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Namshukuru Mungu ni salama piaHuku salama za uko ulipo
What happened mkuu? PoleAende kwa laki 7 najibu nikiwa muhanga na nilikuwa nalipwa hiyo hiyo ya private ulotaja.
🤣🤣🤣🤣🙏Aende kwa laki 7 najibu nikiwa muhanga na nilikuwa nalipwa hiyo hiyo ya private ulotaja. Kuna kaupepo mara Covid 19 mara investors wameona wafunge biashara hapo ndo ushuzi utakutoka.