kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Naskia wewe ndiye Samia mkuuNimejitahidi kutakankujuwa ni nini kinachontoa mtu wa jazi ya jawaida tu, kutoka kuajiriwa sekta binafsi na kuwa na wazo la kuajiriwa serikalini kwa mshahara mdogo zaidi.
Jibu nililopata ni hakuna zaidi ya wiizi tu unaomfikirisha kurlekea huko. Siyo siri, mijitu inaiba serikalini na inalindana.