Aache kazi private anakolipwa 1.6m au aende government atakapolipwa laki 7.6?

Aache kazi private anakolipwa 1.6m au aende government atakapolipwa laki 7.6?

Kama anaangalia job security aende governnment maana uko ukiingia ni mpaka ustaafu na hamna pressure za ajabu na pia kma ni kitengo kizuri atakua anapata ela za ziada, private ata kuna maslahi sidhani ni ya kudumu na uko boss siku kaamka vibaya au akimtongoza akagoma analimwa barua ya kuachishwa kazi au mkataba ukiisha apewi mwingine.
Good one
 
Kuna vutu vingu vya kuangalia. Kama hakuna extra money zaidi ya hiyo 1.6 M unayoipata bhas nenda kwenye TGS ila pia nako angalia kuna advantages zipi. Lazima upime benefits ndipo uamue kuwa unafanya aje, wengi tumekuwa na hizo options mara kadhaa tumezisolve kwa cost of opportunity.
 
That's not the point...ni changamoto ya kuanza upya na kuhamisha familia yote , then mkeo au mumeo naye aache kazi yake akufuate, swali lake kila kitu ni risk tuu na hakuna guarantee kwa atakachofikiria , chochote kinaweza kutokea
Ukiwa mwajiriwa wa public suala la kuhamishwa linakuwa guaranteed be prepared otherwise uwe mkulima tu au uanzishe biashara zako.
 
Kila walipotawala wakoloni elimu yao na utawala wao ulilenga kutujaza fikra (brainwashed) kuwa watumwa wa kuutumikia utawala wa nfalme/malkia daima. Kwa bahati nzuri au mbaya, tumeurithi mfumo huo na tumeundeleza kwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru.

Tutaendelea kuwa watumwa daima kama hatujabadilika kifikra.
Madam Faiza long time no see. Unaendeleaje?
 
Kila walipotawala wakoloni elimu yao na utawala wao ulilenga kutujaza fikra (brainwashed) kuwa watumwa wa kuutumikia utawala wa nfalme/malkia daima. Kwa bahati nzuri au mbaya, tumeurithi mfumo huo na tumeundeleza kwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru.

Tutaendelea kuwa watumwa daima kama hatujabadilika kifikra.
Nice to see you here mkuu FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom