Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
That's not the point...ni changamoto ya kuanza upya na kuhamisha familia yote , then mkeo au mumeo naye aache kazi yake akufuate, swali lake kila kitu ni risk tuu na hakuna guarantee kwa atakachofikiria , chochote kinaweza kutokeaKwani bukoba sio Tanzania mkuu?