kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
- Thread starter
- #21
Mimi ni chingaMkuu wewe unafanya kazi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni chingaMkuu wewe unafanya kazi gani?
Kwani bukoba sio Tanzania mkuu?Serikalini napo unaweza siku moja boooom uhamisho Bukoba
Lakini lazima upo vizuri kwa mshahara huo ukifanya kazi miaka 5 upo mbaliAende kwa laki 7 najibu nikiwa muhanga na nilikuwa nalipwa hiyo hiyo ya private ulotaja. Kuna kaupepo mara Covid 19 mara investors wameona wafunge biashara hapo ndo ushuzi utakutoka.
Ni mhasibuLabda utujuze yupo na fan gani au professional yake ni nini ili tujue kwa sababu kuna vitengo au fani fulani Serikalini ni jau sana
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hiyo hapo maana zakeIvi izo THS huwa zina maana gani? Mfano TGS a, mara b mara C mara hiyo G kwanini ivyo na mshahara unakuwaje?
Yah ila kwa baadhi ya vitengo unajua kabisa hapa pengo langu halina speaIla mkataba ukiisha unapata kapresha presha hivi, unahofia sijui tutarenew or not aah
Happy for you financial servicesNamshukuru Mungu ni salama pia
Ooh ukijua hivo ni nzuri ila usirelax private sector kuna surprises nyingi, siku wanaweza kumtoa mtu hivo hivo hata kama pengo lake lilikua halizibiki🤔Yah ila kwa baadhi ya vitengo unajua kabisa hapa pengo langu halina spea
Asee aendelee kupokea hizo 1.6 asiziache mkuuWife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Ni kweli usemalo sema kwa baadhi ya kazi yani ili wakutoe lazima wapeleke mtu training kwanza otherwise wakukomoe wakuondoe alafu operations zisimame kwa mudaOoh ukijua hivo ni nzuri ila usirelax private sector kuna surprises nyingi, siku wanaweza kumtoa mtu hivo hivo hata kama pengo lake lilikua halizibiki🤔
You have a point, ila nini kifanyike kubadili fikra?, ushauri wako ni upi kweli suala la mleta uzi?Kila walipotawala wakoloni elimu yao na utawala wao ulilenga kutujaza fikra (brainwashed) kuwa watumwa wa kuutumikia utawala wa nfalme/malkia daima. Kwa bahati nzuri au mbaya, tumeurithi mfumo huo na tumeundeleza kwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru.
Tutaendelea kuwa watumwa daima kama hatujabadilika kifikra.
Aende serikaliniNi mhasibu
All employees were laid off due to Covid 19, investors decided to hibernate all activities as a preparation to voluntary liquidation.What happened mkuu? Pole
Ndo maana nakupenda kipenzi, thread yangu bado inaishi.Aah hiyo yote sababu ni job security ama? Kama anahitaji hivo aende serikalini ila mimi ningeendelea huko private ,tofauti ya mshahara ni 2times duh