saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Jibu liko wazi private ya nchi hii siyo sehemu ya kufanya kazi. Anaweza kukaa na huo mshahara hata miaka 10 bila nyogeza wakati huyo wa laki 7.6 wakati huo atakuwa ameshaupita huo mshahara wa 1.6M. Lingine kuondolewa kazini kupo njenje. Ukifanya kazi serikalini unajisikia unaifanyia kazi nchi yako siyo kumtumikia mtu binafsi. Huyo mke wako km atajiendeleza kielimu kuna fursa nyingi sana ya kupangiwa majukumu mengine makubwa yenye maslahi makubwa zaidi.Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?