mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
uuwe unasoma na kuelewa , nimekwambia ajira nyingi za serikali zinahitaji uwe chini ya 30, nafasi ya kupata ajira za serikali its slim and thin ukiwa na above 30, na 45 ni mwisho kabisa
Huwa mnapata faida gani kuongea uongo?