Aache kazi private anakolipwa 1.6m au aende government atakapolipwa laki 7.6?

Aache kazi private anakolipwa 1.6m au aende government atakapolipwa laki 7.6?

Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.

Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.

So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
SAS unataka wife wako asifanye kazi bila pressure kazi lazm iwe na pressure nduo kulipa kwake SAS aikienda huko serekali had akapelekeshwe na mijitu wachawi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.

Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.

So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?

Nalo la kuuliza kweli? Mkataba wa serikalini ni permanent ,fursa za mikopo kama yote ,apige chini hiyo 1.6 ya pressure akale bata serikalini.
 
Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.

Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.

So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Haya mambo mkuu yakupasa mjadiliane kivyenu na shemeji huko mahome kwenu
 
ukiwa na fursa ya kupata kazi serikalini do it aisee, salary ni nini eti , mimi mwalimu wa government kwa mwaka nina likizo april siku 14, june siku 30, september siku 14, december siku 30, plus weekend zote, natoroka karibu kila siku , ninafundisha mikondo miwili , kila mkondo una vipindi vitatu per week so ni dk 40 * 3 kwa kila mkondo , halafu nipo TGTS E ,hizo pesa za private ache nipate mtaani
Halafu unajisifu unatoroka kila siku sasa kama unatoroka kila siku nani atafundisha watoto? Ndio maana watoto wanazidi kufeli kila kukicha,ujinga huo huwezi kufanya private na ndio maana nyie mnakwamisha maendeleo ya serikali mmejaa uvivu kupindukia.
 
ukiwa na fursa ya kupata kazi serikalini do it aisee, salary ni nini eti , mimi mwalimu wa government kwa mwaka nina likizo april siku 14, june siku 30, september siku 14, december siku 30, plus weekend zote, natoroka karibu kila siku , ninafundisha mikondo miwili , kila mkondo una vipindi vitatu per week so ni dk 40 * 3 kwa kila mkondo , halafu nipo TGTS E ,hizo pesa za private ache nipate mtaani
Halafu bado tunatafuta mchawi wa haya masifuri wanayopata watoto huko mashuleni.
 
Aende Serikalini kufanya Nini? akomae huko huko na aweke malengo baada ya miaka 5 anaacha kazi anafanya kilimo biashara ama biashara yoyote Ile. Kama hatotaka biashara akusanye hela anunue bonds!

kwanza wewe ni mumewe mtie Moyo wekeni malengo, baada ya muda Fulani aache kazi. Serikalini kwa mshahara huko

dooh
 
Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.

Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.

So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Kuwa private au kuwa government kote ni kuajiriwa. So hayupo salama. AJiajiri
 
USHAURI

Kama ni mwanamke /mke bora aend huko serikali atakuw na muda zaid wakupumua na job security n kubwa

Ila kampuny hiyo haifi leo au kesho ipo stable na management yake imekaa poa japo pressure za hapa na pale zpo na anatok job mda wa mapem muache aendelee na kaz private


Kiufup muache hukooo private , akiend huko kwa 700000 na bado anakuw staff wa kawaida hakuna oc wala allowance mtaanz magomvi
 
Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.

Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.

So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
TZS 1.6m Private atakua labda Waitress Serena? Private unatakiwa ugonge 5m huko
 
Back
Top Bottom