Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ya kamba,job security, matatizo security serikalini hata kama unaumwa miaka unaendelea kuvutaAah hiyo yote sababu ni job security ama? Kama anahitaji hivo aende serikalini ila mimi ningeendelea huko private ,tofauti ya mshahara ni 2times duh
Ishu ni nia je anayo.kujiajiri ni kipaji plus family spirit au uwe kibali,nje ya hapo ni majutoAngeendelea private huku akifanya utafiti wa kuja kujiajiri mbeleni
Na huko huko ndipo ukatobolea.Serikalini napo unaweza siku moja boooom uhamisho Bukoba
Huyu yupo kwenye kamba kabisa.Ni mhasibu
Kama anacho kibali sawaMwambie aache kazi afungue genge la nyanya. Inalipa sana
Kama familia imeweka base sehemu moja uhitaji kuhamisha familia.That's not the point...ni changamoto ya kuanza upya na kuhamisha familia yote , then mkeo au mumeo naye aache kazi yake akufuate, swali lake kila kitu ni risk tuu na hakuna guarantee kwa atakachofikiria , chochote kinaweza kutokea
Hiyo kauli iondoe kabisa ukiwa kwenye eneo la kazi.Yah ila kwa baadhi ya vitengo unajua kabisa hapa pengo langu halina spea
Miss you too.Same here Mr. Spider, habari ya huko?
Angekuwa na CPA au CISA angekula shavu sana serikaliniNi mhasibu
Simp.Ndo maana nakupenda kipenzi, thread yangu bado inaishi.
Semina, vikao na safari zisizo na kichwa wala miguu kwa gharama ya tozo anazoumizwa nazo mwananchi. Aisee, nchi ngumu sana hii.Mimi ningeenda serikalini ,kwanza kuna chances za kusoma na mshahara utaongezeka,semina ,vikao safari.Peace of mind ,job security .
Anyway mimi nafanya kazi mortuaryHiyo kauli iondoe kabisa ukiwa kwenye eneo la kazi.
Niliwahi kufanya kazi Bank fulani yule Head of Corporate and Banking Investment alikuwa anasema hivyo
Board of directors wakakaa wakaona hajafikia malengo kilichomkuta nafasi yake ilichukuliwa na akakiri aliyechukua nafasi yake anajua
Kuna watu wanajua na kazi zao zimeonekana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ebu turudi kwenye mada...
Je, unatafuta mume ama unatafuta mke..??
aah sawa ila prior ukijua mkataba unakaribia kuisha unaanza kujipanga mapema na kama unafanya kazi vizuri basi hutokua na wasiwasi sana, unajua watarenew tu , pia unajua kuna makampuni private yenye permanent contracts?Pressure ya ku-renew contract unaijua wewe?
1. Hawezi kuanzisha mradi na kuusimamia akiwa private tofauti na serikarini.Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?