Naskia wewe ndiye Samia mkuuNimejitahidi kutakankujuwa ni nini kinachontoa mtu wa jazi ya jawaida tu, kutoka kuajiriwa sekta binafsi na kuwa na wazo la kuajiriwa serikalini kwa mshahara mdogo zaidi.
Jibu nililopata ni hakuna zaidi ya wiizi tu unaomfikirisha kurlekea huko. Siyo siri, mijitu inaiba serikalini na inalindana.
Samia ana muda wa kuja kubishana na wajinga wa JF? Unanchekesha πππNaskia wewe ndiye Samia mkuu
Kwani yeye Samia ni mwerevu?Samia ana muda wa kuja kubishana na wajinga wa JF? Unanchekesha πππ
Kwanini aliomba huko serikalini kama yuko dilemma, mnabania ma jobless mkipata mnaleta mapoziWife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
kikao posho 1.5m aiseee taasisi gani hiyo?Hapo kuna bahati nasibu, niliowaacha private na salary kubwa nikaenda serikalini penye salary ndogo wanashangaa naishije wakati wao bado wanachechemea.
Kuna Vikao tulikua tunakaa posho kwa siku 1.5m na safari za hapa na pale...kwa mwezi natangeneza 7m...mshahara 556k