Abdallah Mwaipaya ulichokifanya Redioni usikirudie tena Kitakugharimu Kiutendaji kwa Rais Samia

Hawa ndo wale wakiwa hawana ISHU mnakuwa nao pamoja KWA stories za kufarijiana.

Wakipata ISHU Hata salamu take huipati. Wakifukuzwa kazi anaanza kujisalimisha kwako.

Ndo tabia ya HUYU mtoa mada
 
Naskia kuna mnywa whisk kupindukia huko giningi
#jamanikuchazangunazipenda
 
Mbona raisi alimpigia Nandy simu akiwa jukwaani
 
Jipige kifuwani huku ukisema 'hakika mimi ni mchawi kamili'
 
Angalau kapiga simu katika kipindi cha Mambo ya muhimu kama familia na maadili! Je Rai's anayepiga simu kwenye kipindi cha umbeya shilawadu unamuongelea aje?
 
usirudie kuvuta ma-kushabu mkuu...vuta zilizokamaa.....dc ni binadamu kama wengine kile kipindi kinahusu jamii...na jamii yenyewe ndio wewe mwaipaya na sasha......
 
Awe makini, yakimkuta asitafute mchawi.
 
Tambua hata mkuu wa nchi aliwahi kukiri kufuatilia shilawadu,,,,tena akawapigia simu kabisa live.
 
pumbaf sana nyie ndio wale mnaamini hata ukiwa Rais basi hata mambo mengine yanasimama including kunyanduana crap wewe
 
Magu aliyekuwa akimpigia simu mnenguaji diamond jukwaani je
 
Genta ni hasara kwa taifa,sijui kwa nini akuzaliwa mjusi
 
Kuacha ngono kwa kada mzoefu ni mtihani sheikh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…