MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #61
Kukukaza.Kazi za DC ni zipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukukaza.Kazi za DC ni zipi?
Huu uzi ulipaswa ufungwe hapaJiwe alikuwa anampigia Diamond clouds 360 mda wa kazi mchana wakati tuna shida kibao, Samia kampigia Nandi muda wa kazi, wewe vipi wewe? acha wivu wa kike.
Ila na Wewe pia hapa unatuchanganya na sasa tunaanza Kukuona huna Akili na huyo Jamaa Kakukaza sana halafu Kakuacha.Popoma fulani ana ID tano ila mwandiko uleule na hajawahi andika point😀😀
Hana akili, anafikiri kwa kutumia masaburi zaidi.Popoma fulani ana ID tano ila mwandiko uleule na hajawahi andika point[emoji3][emoji3]
Uishie hapa umeuanzisha Wewe? Swine.Huu uzi ulipaswa ufungwe hapa
Inaonyesha anawakazeni wengi mno na Kuwakuneni vizuri, kwani kuna ID's nyingi katika Uzi huu wa Mightier unamjadili Yeye tu badala ya Content iliyoko Kimjadala.Hana akili, anafikiri kwa kutumia masaburi zaidi.
Mleta uzi ni mtu pori, ana ushamba mwingi sanaMkuu wacha ukuda.
Kuwa serious na kazi haina maana ndio ukunje sura muda wote.
Mwaipaya yuko sahihi kwa alichokifanya so usimchagulie la kufanya.
Maisha ya sasaivi yanataka kujisocialize na kimbuka Mwaipaya sio mtangazaji bali kwa sasa ni mwanasiasa. Siasa haifanyiki bila ya watu ambao hao ndio wanaunda jamii.
Wewe uko serious ila mfumo haujakuona bali Mwaipaya mfumo umemtambua na umeona anafa.
Kuna mambo ambayo ni unethical lakini sio kuongea kwenye radio.
Mwaipaya kama kiongozi wa watu ametumia media kuelimisha jamii kwa nafasi yake, sasa wewe ndugu yangu unateswa na nni baba.
Ukiilewa dunia ya sasa wala hutopata taabu bali ukikomaa kama jiwe la porini utateseka kama unavyoteseka sasa.
Watu sasa hivi wanaangalia weledi wa kazi zaidi kuliko mbwembwe za kutaka kuitwa mkuu na kujitenga na jamii kisa madaraka.
Madaraka yanapita ila jamii haipiti.
Hongera mdogo wangu Mwaipaya, wewe ni kijana mfano mwenye kutenda kazi kwa weledi na hekima kubwa sana.
Kazi iendeleee!
Mkuu huyu mleta uzi anaweza kuwa caveman, hawakilishi kundi kubwa la watu weusi.Mtu mweusi ana funza kichwani sio bure. Naamn wewe ni mmojawapo mwenye funza tena sio mmoja wengi tu. Kuwa DC hakukufanyi uwe na tabaka katika jamii nyie ndio wale mkiwa kwenye madaraka mnakuwa miungo watu, jinga kabisaa hii..kwan akipiga simu na kuchangia mada shida iko wapi? Kama hajamtusi mtu au haenda kinyume na jamii hakuna shida yyte. Usifikiri wengine ni malimbukeni kama wewe na wenzako
Huo ndio ukweriii 100% ndugu zanguMtoa mada huna point
Kiukweli kuna somo LA ethics, huwa linawashinda watu wengi haswa wakiwa kwenye uongozi. Kiongozi kupiga simu ikawekwa kinaganaga hewani wengine tusiohusika tukasiakia ndo madhara yalomkuta Chalamila miaka kadhaa baadaye!Thanks for the Credits Chief be blessed.
Nashukuru sana Kueleweka vyema na Watu Smart Upstairs kama Wewe kuliko Fools wengi waliojitokeza Kuchangia kwa Kukurupuka na Mhemko hapa.Kiukweli kuna somo LA ethics, huwa linawashinda watu wengi haswa wakiwa kwenye uongozi. Kiongozi kupiga simu ikawekwa kinaganaga hewani wengine tusiohusika tukasiakia ndo madhara yalomkuta Chalamila miaka kadhaa baadaye!