Abdallah Mwaipaya ulichokifanya Redioni usikirudie tena Kitakugharimu Kiutendaji kwa Rais Samia

Popoma fulani ana ID tano ila mwandiko uleule na hajawahi andika point😀😀
Ila na Wewe pia hapa unatuchanganya na sasa tunaanza Kukuona huna Akili na huyo Jamaa Kakukaza sana halafu Kakuacha.

Hivi inaingia Akilini kweli yaani unazijua na Kuzifuatilia ID's zote za huyo Basha wako sijui genta na unajua Kwako huwa hana Point lakini bado tu huchoki Kumfuatilia

Huenda ukawa Unaugua Ugonjwa mkubwa sana wa Akili ( Uwendawazimu ) ila hujajigundua hivyo nakushauri wahi Mirembe Dodoma au Lutindi Tanga ukaanze Matibabu yako haraka.

Cc: Mtumaini Mungu
 
Hana akili, anafikiri kwa kutumia masaburi zaidi.
Inaonyesha anawakazeni wengi mno na Kuwakuneni vizuri, kwani kuna ID's nyingi katika Uzi huu wa Mightier unamjadili Yeye tu badala ya Content iliyoko Kimjadala.
 
Mleta uzi ni mtu pori, ana ushamba mwingi sana
 
Mkuu huyu mleta uzi anaweza kuwa caveman, hawakilishi kundi kubwa la watu weusi.
 
Usitake kufanya watu waishi kama maroboti...

Mtu akiwa kiongozi haina maana yeye kila anachofanya kiwe na mahusiano na majukumu yake ya kiuongozi...

Ingekuwa mbaya kama kapiga simu kuchangia mambo ya kijinga jinga
 
Thanks for the Credits Chief be blessed.
Kiukweli kuna somo LA ethics, huwa linawashinda watu wengi haswa wakiwa kwenye uongozi. Kiongozi kupiga simu ikawekwa kinaganaga hewani wengine tusiohusika tukasiakia ndo madhara yalomkuta Chalamila miaka kadhaa baadaye!
 
Kiukweli kuna somo LA ethics, huwa linawashinda watu wengi haswa wakiwa kwenye uongozi. Kiongozi kupiga simu ikawekwa kinaganaga hewani wengine tusiohusika tukasiakia ndo madhara yalomkuta Chalamila miaka kadhaa baadaye!
Nashukuru sana Kueleweka vyema na Watu Smart Upstairs kama Wewe kuliko Fools wengi waliojitokeza Kuchangia kwa Kukurupuka na Mhemko hapa.
 
Tuache nidhamu ya uwoga,vyeo vipo tu vinakuja na kuondoka.Ishi maisha yako unayoyaona yako sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…