Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Maigizo yaliyofeli kabisa. Ama kweli chadema ni matahiraKazi ndiyo kwanza imeanza sasa.
Hapa chini ni baadhi ya wanachama wapya wakielekea ofisi kuu ya chadema kupitia Makumbusho.View attachment 2545857
Neno huwa na maana kulingana na jamii fulani. Wigo kwa sisi maana yake ni uke
Kwa sasa ni kazi ya kuimarisha chama wakati sukuma gang wapo wanapiga miayooKaribu CHADEMA kambaya.
kwa Kiswahili maana ya wigo ni hiyo!!??Neno huwa na maana kulingana na jamii fulani. Wigo kwa sisi maana yake ni uke
Jibu sahihi kwa wakati sahihiMsaliti ni Lipumba na Magufuri.
Wachana na huyo mrundikwa Kiswahili maana ya wigo ni hiyo!!??
Maigizo yaliyofeli kabisa. Ama kweli chadema ni matahira
Sipati picha ya kiongozi mkuu wa chama cha ACTTunamsubiri Mbatia, mwanachama wetu huko Vunjo.
Hiyo ni maana yako, kwetu ni maana nyingineWigo maana yake milki
Hata thelathini amekuwa kama wewe kwamba çhadema mikutano yao wanatengeza picha kumbe mwenzao mbowe hayumbi hata aondoke kiongozi gani yeye yupo imara chama chake sasa police wanalinda wakati hapo nyuma walikuwa wanawindwa juzi pale uwanja wa KIA ndiye kiongozi wakumpokea amiri jeshiMaigizo yaliyofeli kabisa. Ama kweli chadema ni matahira
Kwenu Sukuma gang ina maana nyingine siyo!! Ha ha ha ha ha sukuma gang bwana kichwa cha mwendawzimu.Hiyo ni maana yako, kwetu ni maana nyingine
Mpunga ni kiswahili si ndio? Maana yake nini?kwa Kiswahili maana ya wigo ni hiyo!!??
Hahah ana bei yake huyo. Samia kafika dau. Na lowasa alifika dau. Kaka hakuna mkate mgumu kwa chai. Ukubwa wa mkate unategemea wingi wa chai.Mimi siwakubali CHADEMA ila Mbowe namkubali sana hana bei wala njaa. Kiukweli ni kiongozi shupavu sana, kavumilia figisu figisu nyingi sana toka nimeanza kuifahamu Chadema.
Ana moyo kiukweli huyu jamaa.
Umewaza kama mimi ila mbowe HAI hajakosea huwa wanamuita KAKASipati picha ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT
Aisee hiyo iliwauma wengi sana akiwepo zzkHata thelathini amekuwa kama wewe kwamba çhadema mikutano yao wanatengeza picha kumbe mwenzao mbowe hayumbi hata aondoke kiongozi gani yeye yupo imara chama chake sasa police wanalinda wakati hapo nyuma walikuwa wanawindwa juzi pale uwanja wa KIA ndiye kiongozi wakumpokea amiri jeshi
Tahira ni sifa wala sio tusi. Hapo wanachofanya ni maigizo hivyo Kuna sifa lazima niwape, kumbuka Kuna sifa mbaya na nzuri. Kazi kwakoWakifanya mikutano unawatukana, wakipata wanachama wapya unawatukana , shida ipo wapi?
Kwenu BurundiHiyo ni maana yako, kwetu ni maana nyingine
Unavyo nunuliwa wewe pale kinondoni makaburini usiku unadhani kila mtu anajiuza?Hahah ana bei yake huyo. Samia kafika dau. Na lowasa alifika dau. Kaka hakuna mkate mgumu kwa chai. Ukubwa wa mkate unategemea wingi wa chai.
Wigo kwa sisi Watoto wa mjini maana yake ni utelezi. Kama mnapanua basi sawa, sisi tutaingizaKwenu Sukuma gang ina maana nyingine siyo!! Ha ha ha ha ha sukuma gang bwana kichwa cha mwendawzimu.