Hata chato?Zitto jimbo lolote atakalogombea anashinda saa nne asubuhi kabla misa ya kwanza haijaisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata chato?Zitto jimbo lolote atakalogombea anashinda saa nne asubuhi kabla misa ya kwanza haijaisha.
Na kama hujui kujenga hoja utaishia kupiga push up kwenye majukwaa.jiwe kapita kwa nguvu za jk na mkapa yeye mwenyewe asingeweza mziki ule.Nani alikwambia uchaguzi unahitaji kujenga hoja?!
Ingekuwa kujenga hoja kunamfanya mtu ashinde sidhani kama Magufuli angekuwa mbunge, achilia mbali urais.
Magufuli hakushinda, alitangazwa mshindi.Na kama hujui kujenga hoja utaishia kupiga push up kwenye majukwaa.jiwe kapita kwa nguvu za jk na mkapa yeye mwenyewe asingeweza mziki ule.
Dogo nondo yupo vizuri kwa kila kitu.uki wasimamisha hao wawili hata kiutendaji levo hafikii kwa nondo.
[SUB]Wananchi wanakula hoja? Hivi kuna mbuge aliyekuwa anajenga hoja kama Zitto tuambie kaifanyia nn Kigoma?[/SUB]Levo hamuwezi nondo.yule bwanamdogo yupo vizuri kwakujenga hoja..
Anagombea uraisWatia nia ubunge kigoma mjini mpaka sasa kupitia ACT-WAZALENDO ni Abdul Nondo, Baba Levo. Bado najiuliza Zitto Kabwe atahama jimbo tena au atagombea nao kura za maoni, au hatagombea mwaka huu?
Maswal mengine bwana mnatuchosha watapitishwa wachache ili ionekane demokrasia ipoKwahio mkuu bila tume huru hakuna mbunge wa upinzani atakaepita(CDM,ACT)?.
👍👍Wanapoteza Muda Tu hao, Labda iwepo tume Huru ya Uchaguzi
Na kama hujui kujenga hoja utaishia kupiga push up kwenye majukwaa.jiwe kapita kwa nguvu za jk na mkapa yeye mwenyewe asingeweza mziki ule.Nani alikwambia uchaguzi unahitaji kujenga hoja?!
Ingekuwa kujenga hoja kunamfanya mtu ashinde sidhani kama Magufuli angekuwa mbunge, achilia mbali urais.
Nenda kigoma utaona alichokifanya..[SUB]Wananchi wanakula hoja? Hivi kuna mbuge aliyekuwa anajenga hoja kama Zitto tuambie kaifanyia nn Kigoma?[/SUB]
Mmmmh,ZZK atagombea urais kupitia ACT
P
Kwanini asigombee ubungo au Kibamba?Agombee Kasulu/Kigoma kusini(Uvinza) ,Kigoma mjini kote huko atapita ,labda anataka kupanua wigo wa wabunge Kigoma kupitia chama chake.Maana Kigoma mjini uhakika wakupita anao labda wafanye figisu zakiwango cha lami.
Membe?ZZK atagombea urais kupitia ACT
P
Namuunga mkono. Hakuna mpinzani makini atatangazwa mshindi na hii tume.Kwahio mkuu bila tume huru hakuna mbunge wa upinzani atakaepita(CDM,ACT)?.
Zitto hapiti, kigoma mjin inarud ccmAgombee Kasulu/Kigoma kusini(Uvinza) ,Kigoma mjini kote huko atapita ,labda anataka kupanua wigo wa wabunge Kigoma kupitia chama chake.Maana Kigoma mjini uhakika wakupita anao labda wafanye figisu zakiwango cha lami.
~ kwa mgombea gani?Zitto hapiti, kigoma mjin inarud ccm
Uraisi atagombea Membe, na hii itapelekea viti vingi vya ubunge huko kusini kuhamia ACT ,hasa vilivyokuwa CUF. Ndio maana Zitto anang'ang'ania Membe .Akikusanya viti vya Pemba,akakusanya vya kusini,akakusanya vya Kigoma hata viwili/vitatu atakuwa kapiga hatua na ruzuku itaongezeka, naona mwaka huu Zitto yupo kimkakati zaidi wakukuza chama. Lakini yote hayo yatatokea kama tume ikijaribu kufanya fair japo kidogo.