Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 919
- 1,192
Kuna uwezekano mkubwa sana hilo kutokea, mfumo uliotumika mwaka jana unaweza kutumika na mwaka huu pia. Watanzania kupànga mistari kupiga kura itakuwa ni ujinga uliyoiva kisawasawa.Kwahio mkuu bila tume huru hakuna mbunge wa upinzani atakaepita(CDM,ACT)?.