Uchaguzi 2020 Abdul Nondo atia nia ubunge Kigoma Mjini

Kwahio mkuu bila tume huru hakuna mbunge wa upinzani atakaepita(CDM,ACT)?.
Kuna uwezekano mkubwa sana hilo kutokea, mfumo uliotumika mwaka jana unaweza kutumika na mwaka huu pia. Watanzania kupànga mistari kupiga kura itakuwa ni ujinga uliyoiva kisawasawa.
 
Wanapoteza Muda Tu hao, Labda iwepo tume Huru ya Uchaguzi
"Ng'ombe atachinjwa kwa namna yoyote atakayolala chini."

Nakumbuka msemo huu niliuona humu humu JF hivi karibuni.

Ni maneno yanayotia matumaini, kama yatatekelezwa ipasavyo.
 
Hapo ndipo mnapokosea kuhusu Tume.

Kila mara ni kama mnaomba hisani kutoka kwao? Kwa nini?

Nisiandike mengi kuhusu hili kwa sababu umeandika vizuri sana hayo mengine yote huko juu. Umeharibu tu hapo kwenye tume. Ondoa 'mentality' hiyo ya kitumwa, na mambo yatakwenda vizuri.
 
Jamaa yupo makini mno, watu hawamjui kihivyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…