Pre GE2025 Abduli has put a sword on a centre that united them, the centre no longer hold. Things fall apart

Pre GE2025 Abduli has put a sword on a centre that united them, the centre no longer hold. Things fall apart

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwamvia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.

CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.

Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.

Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.

Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.

Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!


View attachment 3065586
Hivi kuna sehemu kasema kiongozi mwandamizi?
 
Acha uongo lini CHADEMA imeshirikiana na CCM kuwakandamiza wananchi?. Tupunguze kuongea uongo.
Mkuu 'econonist', heshima mkuu!
Sasa fanya hivi: tuliza kichwa, usiparamie tu kwa ufinyu wa akili unao kuongoza wewe. Elewa kwamba wengine hatuji humu JF kuonyesha mapenzi bila kutumia akili kama unavyo fanya wewe. Sisi siyo kundi la kondoo, kama ulivyo wewe.
 
Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwamvia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.

CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.

Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.

Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.

Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.

Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!


View attachment 3065586
We ni mnafki sana mbona kipindi cha magufuli watu walikuwa wananunuliwa kama njugu mfano mwita waitara, nasari, mtatiro n.k
Acha unafki anachofanya abdul sio kipya
 
Mkuu 'econonist', heshima mkuu!
Sasa fanya hivi: tuliza kichwa, usiparamie tu kwa ufinyu wa akili unao kuongoza wewe. Elewa kwamba wengine hatuji humu JF kuonyesha mapenzi bila kutumia akili kama unavyo fanya wewe. Sisi siyo kundi la kondoo, kama ulivyo wewe.
Kama unaona chadema wameshindwa kuwa wapinzani
Kuwa mpinzani wewe ambaye umejificha kwenye jina bandia na upo nyuma ya keyboard kama unaona ni rahisi kuwa mpinzani Tanzania
 
Kama unaona chadema wameshindwa kuwa wapinzani
Kuwa mpinzani wewe ambaye umejificha kwenye jina bandia na upo nyuma ya keyboard kama unaona ni rahisi kuwa mpinzani Tanzania
Wewe upo hapa kwa kuwa unashibishwa na Abdul; hiyo tayari ni tofauti kubwa sana kati yetu!
Uhakika ni huu: safari hii hamponi.
 
Lakini hiki chama kinajulikana kuwa "kimchongo" miaka yote; tofauti tu ni kwamba kuna wakati kilionyesha dalili za kuwa na uwezekano wa kukikabili CCM ambacho siyo cha "mcongo" pekee, bali wamekuwa ni wakoloni kabisa kwa nchi!

CHADEMA kimsingi haijawahi kujulikana kuwepo kusimamia maslahi ya wananchi kwa ujumla wake.

Wengi tumekuwa tukiwahimiza watusaidie tu kumwondoa huyu "mtekaji" aliye tutia ndani nchi nzima hata tusijue jinsi ya kujinasua toka kwake.
Kwa bahati mbaya iliyoje kwetu, CHADEMA na wao wameona ni bora wawe sehemu ya kuwakandamiza waTanzania, kwa kushirikiana na CCM ya Samia.
Mwenyekiti amrsalimu amri kwa mama nbaada ya kuona watz wamelala
 
Naweza kuwatetea.Jamani kupigwa mabomu ya machozi,kutekwa na kupelekwa mahakamani kisa mazombi wanaoitwa waTanzania ni upumbavu.
Acha wapumzike kidogo na mabilioni,wapooze roho.... they are have stress tested and now we know their limit. Hata Julian Assange kala dili sembuse Mbowe
 
Ccm chama changu kimeona mgombea walienae hauziki Wala Hana mvuto wanataka kumshindisha kwa:-

Kufarakanisha upinzani!Ili kugawa kura zao

Kuwanyima wapiga kura walioumizwa na utawala huu kutopiga kura kwa kutoboresha taarifa zao kwenye daftari la tume ya uchaguzi!!!

thestate naaminj mpo kazini liokoeni taifa dhidi ya wabadhirifu na Wala rushwa!
 
Mkuu 'econonist', heshima mkuu!
Sasa fanya hivi: tuliza kichwa, usiparamie tu kwa ufinyu wa akili unao kuongoza wewe. Elewa kwamba wengine hatuji humu JF kuonyesha mapenzi bila kutumia akili kama unavyo fanya wewe. Sisi siyo kundi la kondoo, kama ulivyo wewe.
Nimekuuliza swali jepesi umeshindwa kujibu. Ni lini CHADEMA imeshirikiana na CCM kuwakandamiza wananchi?. Mbona swali jepesi. Mengine ni uongo na unafiki.
 
Back
Top Bottom