Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #81
Hii yote ni sababu ya failure ya leadership ya Mbowe.
Chama kimetohumiwa rushwa na Mwenyekiti hatoi kauli hata ya kusema kuwa kinafanya uchunguzi wa ndani au kuikaribisha TAKUKURU ichunguze madai hayo.
Kama Chama kiko kimya kwenye hili maana yake chama kinakiri kuwa kweli kuna waliohongwa na CCM na kinawakingia kifua!
Chama kimetohumiwa rushwa na Mwenyekiti hatoi kauli hata ya kusema kuwa kinafanya uchunguzi wa ndani au kuikaribisha TAKUKURU ichunguze madai hayo.
Kama Chama kiko kimya kwenye hili maana yake chama kinakiri kuwa kweli kuna waliohongwa na CCM na kinawakingia kifua!