Pre GE2025 Abduli has put a sword on a centre that united them, the centre no longer hold. Things fall apart

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi kuna sehemu kasema kiongozi mwandamizi?
 
Acha uongo lini CHADEMA imeshirikiana na CCM kuwakandamiza wananchi?. Tupunguze kuongea uongo.
Mkuu 'econonist', heshima mkuu!
Sasa fanya hivi: tuliza kichwa, usiparamie tu kwa ufinyu wa akili unao kuongoza wewe. Elewa kwamba wengine hatuji humu JF kuonyesha mapenzi bila kutumia akili kama unavyo fanya wewe. Sisi siyo kundi la kondoo, kama ulivyo wewe.
 
Wote huko Wana bei! Yusuph Mauzi aliliona hili kitambo akiwa KM
 
We ni mnafki sana mbona kipindi cha magufuli watu walikuwa wananunuliwa kama njugu mfano mwita waitara, nasari, mtatiro n.k
Acha unafki anachofanya abdul sio kipya
 
Kama unaona chadema wameshindwa kuwa wapinzani
Kuwa mpinzani wewe ambaye umejificha kwenye jina bandia na upo nyuma ya keyboard kama unaona ni rahisi kuwa mpinzani Tanzania
 
Kama unaona chadema wameshindwa kuwa wapinzani
Kuwa mpinzani wewe ambaye umejificha kwenye jina bandia na upo nyuma ya keyboard kama unaona ni rahisi kuwa mpinzani Tanzania
Wewe upo hapa kwa kuwa unashibishwa na Abdul; hiyo tayari ni tofauti kubwa sana kati yetu!
Uhakika ni huu: safari hii hamponi.
 
Mwenyekiti amrsalimu amri kwa mama nbaada ya kuona watz wamelala
 
Naweza kuwatetea.Jamani kupigwa mabomu ya machozi,kutekwa na kupelekwa mahakamani kisa mazombi wanaoitwa waTanzania ni upumbavu.
Acha wapumzike kidogo na mabilioni,wapooze roho.... they are have stress tested and now we know their limit. Hata Julian Assange kala dili sembuse Mbowe
 
Ccm chama changu kimeona mgombea walienae hauziki Wala Hana mvuto wanataka kumshindisha kwa:-

Kufarakanisha upinzani!Ili kugawa kura zao

Kuwanyima wapiga kura walioumizwa na utawala huu kutopiga kura kwa kutoboresha taarifa zao kwenye daftari la tume ya uchaguzi!!!

thestate naaminj mpo kazini liokoeni taifa dhidi ya wabadhirifu na Wala rushwa!
 
Nimekuuliza swali jepesi umeshindwa kujibu. Ni lini CHADEMA imeshirikiana na CCM kuwakandamiza wananchi?. Mbona swali jepesi. Mengine ni uongo na unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…