Pre GE2025 Abduli has put a sword on a centre that united them, the centre no longer hold. Things fall apart

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)


Marehemu maalim Seif aliwaambia wapemba , Ukipewa pesa na CCM usiziwache , zichukuwe, jawabu utawapa kwenye sanduku la kura , kule usiwape kitu
 
Msigwa na yeye kapokea hela ya Abdul ndiyo iliyomlegeza hadi alajitoa ufahamu. Tutawataji wote waliofikiwa na hela ya Abdul ili hata wakija huko CCM mjue hao ni bidhaa tu
 
siku mkija kutambua kwamba tundu lisu is the biggest conman ever lived hapa tanzagiza ndiyo mtajikomboa, huyo jamaa sijui kawapa nini hata kuhoji tu ujinga anaowatapikia kila siku hamuwezi, anasema sijui abduli kaja sebuleni kwake, aliingiaje? nani alimkaribisha? nani alimpa appointment na kwa nini? i mean, tundu lisu is a loose cannon na pathological liar na kete yake kubwa ni wafuasi wake ambao ameweza kuwa manipulate na kuwalisha uongo kwa miaka, wafuasi wanaamini kabisa kwamba ni saint wakati tundu lisu ni …
 
dah! Unataja bilioni 10 Kama shilingi mia. Hiyo pesa unahamishije benki.
Hawa watu ni mafia wana njia nyingi za kukwepa mifumo rasmi. Hii project yao ni kubwa wamedhamiria kuondoa kelele.zote ili wakianza ngwe yao ya pili wale kwa kujinafasi na kuimaliza Tanganyika kabisa,waarabu wana hela chafu ya mafuta.
 
Maana anavyo muonesha huyo jamaa ni kama mtu ambaye hutakiwi kumsogelea hata kwa ukaribu ila yeye kamkaribisha hadi sebuleni
 
Kakuambia alikuja na kiongozi ndani ya chadema,hapa huenda huyo kiongozi hakuweka bayana kuhusu kuongozana na Abdul hivyo Lisu akashitukia Abdul yuko ndani.
 
Kakuambia alikuja na kiongozi ndani ya chadema,hapa huenda huyo kiongozi hakuweka bayana kuhusu kuongozana na Abdul hivyo Lisu akashitukia Abdul yuko ndani.

na unaamini tu hivyo kwamba mtoto wa raisi wa nchi afanye hivyo? ajiendee tu sebuleni kwa tundu lisu ?
 
Namba moja ni msigwa,safi sana kiongozi yeyote atakayehama chadema tutajua kahongwana abduli
 
This is why i love Lissu politics he is a man of stand no matter what! People say betray is an act of friends not Enemy! So we can not blame Abdul and his gang ..we should blame those rats from chadema!
 
Kama hao watoa rushwa wa ccm wakiongozwa na Abduli hawatashughulikiwa kwa wakati basi tatizo ni kubwa!
 
Kila ukikaribia uchaguzi ndani ya CHADEMA,CCM hutumia wajinga wa mtandaoni kuanzisha uzushi ili kuivuruga CHADEMA na watu hao huwa watu tunaowaamini.
Hili amelianzisha lisu, siyo ccm. Wajinga wa mitandaoni ni wale wasiotumia bongo zao kubaini uhalisia wa mambo. Kwa jina maarufu wanaitwa nyumbu!
 
Kama hao watoa rushwa wa ccm wakiongozwa na Abduli hawatashughulikiwa kwa wakati basi tatizo ni kubwa!
I think we should deal with those rat/prostitutes whose easy to be manipulated… ! Abdul don force them to take his money….is their consent!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…