sasa hapa ccm kqhusikaje?Kila ukikaribia uchaguzi ndani ya CHADEMA,CCM hutumia wajinga wa mtandaoni kuanzisha uzushi ili kuivuruga CHADEMA na watu hao huwa watu tunaowaamini.
Mwaka huu ni zamu yako?
Haijawahi kuingia akilini mwangu hata siku moja, kwamba wewe utatafuta chochote kwangu. Sasa unataka kweli nianze kujibishana nawe juu ya jambo kama hili?Nimekuuliza swali jepesi umeshindwa kujibu. Ni lini CHADEMA imeshirikiana na CCM kuwakandamiza wananchi?. Mbona swali jepesi. Mengine ni uongo na unafiki.
The law says the contrary!I think we should deal with those rat/prostitutes whose easy to be manipulated… ! Abdul don force them to take his money….is their consent!
Hao "thestate" unao walilia wewe kama kweli wapo, na hawayaoni yote haya watakuwa ni chombo cha hovyo kabisa!Ccm chama changu kimeona mgombea walienae hauziki Wala Hana mvuto wanataka kumshindisha kwa:-
Kufarakanisha upinzani!Ili kugawa kura zao
Kuwanyima wapiga kura walioumizwa na utawala huu kutopiga kura kwa kutoboresha taarifa zao kwenye daftari la tume ya uchaguzi!!!
thestate naaminj mpo kazini liokoeni taifa dhidi ya wabadhirifu na Wala rushwa!
Mbona huyo mtajwa mtoa rushwa hamumkebehi, kumdharau na kumjadili kwa kutoa rushwa? Mnawajadili tu Chadema kwahiyo hii hali imekaa vizuri? Nilitegemea na mtajwa wa kupeleka rushwa mngemshambulia Kwa maneno kama mnavyoishambulia Chadema. Au kutoa rushwa ni halali? Kama siyo halali mtoa rushwa mnamuogopa?Chadema wengi wamepewa rushwa kati ya million 500 hadi billion 10.Mbowe ndo kapewa billion 10
HukoHali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
Waambie wamalize matatizo yao kwanza huko CCM,wanawekeana maji ya betri kwenye chaiHali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
Unapochekelea huu msiba, usisahau kuwa hiyo unayofuraia kama “hela ya Abduli” ni pesa za umma toka Hazina. Zinachotwa kupitia paymaster general wa serikali na kutumika na kundi familia lililojimilikisha rasilimali ya taifa.Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
"mugambo wanaruka na kukanyagana,wote wamesimama wanaruka KINYAMA!..MUGAMBO wanaruka na KUKANYAGANA _'hii" .."Wanacheeka!'Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
Hunijui alafu unaniambia nashibishwa na abdul umeamua kurusha jiwe gizaniWewe upo hapa kwa kuwa unashibishwa na Abdul; hiyo tayari ni tofauti kubwa sana kati yetu!
Uhakika ni huu: safari hii hamponi.
Mkuu sio kila kingaacho ni dhahabu.siku mkija kutambua kwamba tundu lisu is the biggest conman ever lived hapa tanzagiza ndiyo mtajikomboa, huyo jamaa sijui kawapa nini hata kuhoji tu ujinga anaowatapikia kila siku hamuwezi, anasema sijui abduli kaja sebuleni kwake, aliingiaje? nani alimkaribisha? nani alimpa appointment na kwa nini? i mean, tundu lisu is a loose cannon na pathological liar na kete yake kubwa ni wafuasi wake ambao ameweza kuwa manipulate na kuwalisha uongo kwa miaka, wafuasi wanaamini kabisa kwamba ni saint wakati tundu lisu ni …
Aisee dola laki 5??!Je zile tetesi toka Twitter kuwa msigwa kapewa dola laki tano ni kweli au uzushi tu?
Bilioni 10 serious???Chadema wengi wamepewa rushwa kati ya million 500 hadi billion 10.Mbowe ndo kapewa billion 10
Me nipate mawasiliano yake pleasePicha ya tajiri Abdul plz
Ila muwe makini sana na lisu.Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
Amepewa 10B kuyoka wapi na kwa ajili ya nini hasa? Unajisemea tu kama mtoto mdogo. Unazijua 10B wewe? Chama kimeshajifia alafu kiongozi apewa pesa zote hizo kwa ajili ya nini hasa? Kwa influence gani ambayo mbowe anayo mtaani?Chadema wengi wamepewa rushwa kati ya million 500 hadi billion 10.Mbowe ndo kapewa billion 10