Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #81
Amen.Weka namba yako utaona muamala.Kaka Abdul anisaidie na mimi jamani hata kidogo na Mungu atambariki
Wewe ni Abdul wa mama? Mbona kama si kweli?Amen.Weka namba yako utaona muamala.
Kama unataka vithibitisho njoo PM.Wewe ni Abdul wa mama? Mbona kama si kweli?
Kuwa na heshima jiheshimu pia.Mlete mama yako nimvue chupi kwanza aenjoy sawa eeKama unataka vithibitisho njoo PM.
Nguo ya NDANI vua kabisa,😔👈🏾.
Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye anunuliwe!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
Wewe si ndio unayetaka kusaidiwa!Kuwa na heshima jiheshimu pia.Mlete mama yako nimvue chupi kwanza aenjoy sawa ee
Tundika ishahidi hapa.Chadema wengi wamepewa rushwa kati ya million 500 hadi billion 10.Mbowe ndo kapewa billion 10
Hizo ni tetesi toka Twitter kuwa kapewa dola laki tano. Sina uhakika kama ni kweli au ni uongo.Aisee dola laki 5??!
Asante kwa hili MkuuHali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye anunuliwe!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
Mbowe kapewa bilioni 10 ili afanyeje, asigombee Urais ????Chadema wengi wamepewa rushwa kati ya million 500 hadi billion 10.Mbowe ndo kapewa billion 10
Chadema niliwaambia kuwa wasifurahie kifo cha JPM bila ya kujua kuna nini kipo nyuma yake ..niliwaambia kama kifo kina mkono wa mtu basi hali zao za sasa zitakuwa mbaya kuliko za kipindi cha jpm wakanitukana na kuniona mimi ni mpumbavu kama wao ....chandema kimeshindwa kugunduaHali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye anunuliwe!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
View attachment 3065586
Mwandiko huu hapa ni mzuri sana.Unapochekelea huu msiba, usisahau kuwa hiyo unayofuraia kama “hela ya Abduli” ni pesa za umma toka Hazina. Zinachotwa kupitia paymaster general wa serikali na kutumika na kundi familia lililojimilikisha rasilimali ya taifa.
CHADEMA ikisambaratika athari yake ni ndogo sana kwa taifa. Hicho ni kikundi kidogo tu cha watu waliohiyari kupambana dhidi ya uovu wa dola. Hawana hatimiliki ya UPINZANI. Wala hawawajibiki kwa Mtanzania yeyote katika harakati zao. Anyone can join them or quit anytime.
CHADEMA ikifa, kazi ya upinzani itaendelea kupitia wadau wenye nia ya dhati. Wako wengi tu hata ndani ya CCM. Upinzani ni dhana ya kudumu.
Lakini hujuma kwa pesa ya umma inazidi kulididimiza taifa kwenye umasikini uliokithiri na kuimarisha utawala katili wa kiimla. Your choice to celebrate.
Sijasema hivyo (hapo kwenye bold, red). Umeandika kitu tofauti kabisa na nikichoandika. UMEJIPOTOSHA. SOMA TENA.Mwandiko huu hapa ni mzuri sana.
Nimeusoma kwa makini, na kuanza kuwa na mashaka kidogo na nilivyo dhani ninakujuwa kutokana na tuliyo kwisha jadili kati yetu humu.
Lakini pia, nadhani huyo uliye mjibu, mleta mada na yeye hukumuelewa vyema katika andiko hilo ulilojibu.
Huyo siyo mtu wa kusherehekea kama unavyo hitimisha., na sioni popote katika andiko lake anako sherehekea kusambaratika kwa CHADEMA.
Mwisho, napenda kutofautiana nawe kwenye hiyo dhana ya "wapinzani kutokuwa na wajibu kwa yeyote" Hii ni dhana potofu kabisa. Mtu anapo amua kuingia kwenye siasa, maana yake ni kuwa mtu huyo ameamua kuwajibika kwa watu atakaokuwa anawasemea katika kazi yake hiyo. Vyama vya upinzani, kama ilivyo CCM, wanao wajibu kwa wananchi, na vyama hivyo ni vya wananchi walio amua kuwa wananchama na wapenzi wa vyama hivyo. Hivi vyama vya siasa, haviendeshwi kwa gharama za hao walio vianzisha. Kwa namna moja au nyingine wote wanategemea ruzuku, au michango ya wananchi.
Nirudi nilipo anzia. Pamoja na hayo niliyoeleza hapa ya kutokubaliana na dhana uliyo wasilisha; lakini maudhui ya uliyo andika kwa ujumla, yamenifanya niingiwe na shaka juu ya nilivyo dhani najuwa unayo amini kisiasa.
Pengine uelewa wangu wa maneno haya hapa ndiko kuliko nifanya niandike niliyo andika hapo.Wala hawawajibiki kwa Mtanzania yeyote katika harakati zao
Unaweza kufafanua ulikuwa na maana gani hapo.Sijasema hivyo (hapo kwenye bold, red). Umeandika kitu tofauti kabisa na nikichoandika. UMEJIPOTOSHA. SOMA TENA.