Abduli mbona amekuwa maarufu sana?

Abduli mbona amekuwa maarufu sana?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mitandaoni huyu jamaa ana trend japo hana wadhifa wowote serikalini lakini inaonekana kama ndo mtendaji Mkuu wa serikali, labda cheo chake hakipo dhahiri

1. Rais Mseveni wa Uganda Ali tweet
Ati ametembelewa na ugeni wa Mseveni na wameingia mkataba ya nishati na Tanzania
Sasa Abduli alienda kama nani ? Waziri wa nishati? Waziri mkuu?

2. Anatuhumiwa na Lissu ati anatembeza mahela ya kuhonga CHADEMA
Kama anawahonga ni Kwa ajili ya nini? Anahonga kama nani?
Kwanini ahonge yaani Rushwa ambalo ni jinai, kwanini TAKUKURU hawamkamati kumhoji?

3 Dp world inasemakana ndo aliwashawishi na kuwaleta

Huyu Abduli ana status Gani ndani ya serikali?
 
Ukiwa mke wa Rais, unaitwa First lady. Hivyo hivyo kwa watoto, First Son. Sasa wewe kama huna hiyo chance shauri yako. Vile vile kama ndio kawaleta DP word. Dah, mbona kafanya jambo la maana sana. Angali DP world wanavyofanya kazi vizuri.
 
Nahisi labda unapokuwa raisi Kuna mambo mengine unakuwa haumuamini mtu yeyote zaidi ya mtoto wako
 
Mitandaoni huyu jamaa ana trend japo hana wadhifa wowote serikalini lakini inaonekana kama ndo mtendaji Mkuu wa serikali, labda cheo chake hakipo dhahiri

1. Rais Mseveni wa Uganda Ali tweet
Ati ametembelewa na ugeni wa Mseveni na wameingia mkataba ya nishati na Tanzania
Sasa Abduli alienda kama nani ? Waziri wa nishati? Waziri mkuu?

2. Anatuhumiwa na Lissu ati anatembeza mahela ya kuhonga CHADEMA
Kama anawahonga ni Kwa ajili ya nini? Anahonga kama nani?
Kwanini ahonge yaani Rushwa ambalo ni jinai, kwanini TAKUKURU hawamkamati kumhoji?

3 Dp world inasemakana ndo aliwashawishi na kuwaleta

Huyu Abduli ana status Gani ndani ya serikali?
Abdul ndio sera ya chakadomoz Kwa sasa

Huwa hawana agenda ya maendeleo zaidi ya personal attacks

Walimchafua Lowassa sana kuliko Abdul na wakampa fursa ya kugombea urais

Don’t trust them
 
Back
Top Bottom