Abduli mbona amekuwa maarufu sana?

Abduli mbona amekuwa maarufu sana?

Abdul ndio sera ya chakadomoz Kwa sasa

Huwa hawana agenda ya maendeleo zaidi ya personal attacks

Walimchafua Lowassa sana kuliko Abdul na wakampa fursa ya kugombea urais

Don’t trust them
Na Rais Mseveni alidanganya
 
Museven alisema jamaa ni business man na alikwenda kuongea business

Mfanyabishara hazuiwi kukutana na mtu yeyote

Hata mtoto wa mbowe anamiliki companies ingawaje nyingine zinamshinda
Mseveni alisema aliwakilisha serikali ya Tanzania na wakaingia mkataba ya mafuta
 
Kule Ipinda Kyela Ridhiwani alipewa ata uchief wa Kinyakyusa akaitwa “Chifu Mwangupile” hii nchi bana sasa huyu Abdul kabla mama yake kuwa rais yeye alikuwa dalali wa vifaa vya ujenzi pale magomeni sasa hivi dalali wa nchi
 
Atakuwa anawasoma humu kisha anaishia kuwacheka sana
 
Back
Top Bottom