Kama yanamanufaa kwa Nchi Kwanini mbowe asiyaseme?, Mnatetea Jambo ambalo linajitetea... Kama chama kipo kwa maslah ya umma kulikuwa na haja gani wasiweke wazi yaliyojadiliwa? ... CCM hawawezi kuweka wazi tunajua, mbowe kwann asiyaweke wazi na ndani ya chama n yeye tu ndio anayajua kwann?.
Kwani kabla chama sikilikataa kuchukua ruzuku kwa serikali ambayo haikushinda uchaguzi?, Taarifa zakuanza kuchukua ruzuku zimetolewa lini?.
Acha porojo leta hapa hiyo taarifa ya cdm kupokea ruzuku toka 2020!?.Acha upotoshaji wa kijinga, sio mara Moja au 2 cdm wameweka wazi kupatiwa hiyo ruzuku, na viongozi wa cdm wakawa wanatoa ufafanuzi kwa wanachama wake kama sehemu ya kuwaplease kuwa maridhiano yana maana. Ifahamike wafuasi wengi wa cdm hawana imani na hayo maridhiano, Wala hawayataki.
Aliyepaswa kutoa uwazi ni Mbowe kwa chama na umma!, Hajafanya hivyo na ilibaki kuwa Siri take Kwanini?. Ni lini chadema wamesema wameanza kupokea ruzuku kwa serikali toka kauli y mwanzo.
..pia kwanini CCM hawaelezi mambo waliyoyakataa ktk maridhiano?
..mimi nahisi wanaogopa kusema walikata nini kwasababu huenda ni mambo yenye manufaa kwa wananchi.
hoja ya msingi hapa... Je chadema wamezipikea hizo pesa?, Wameikana kauli yao ya kutokupokea ruzuku kwa serikali isiyo halali kutokana na uchaguzi 2020?. Sababu za kuipokea ni zipi?, Maridhiano yalikuwa kwaajiri ya Mbowe na CCM au Cdm na serikali ya CCM?. Chama kinajua yaliyojadiliwa au ni mbowe pekee!...tuwahoji Ccm na Chadema.
..kwanza wamekubaliana mini.
..pili wamepishana ktk nini.
NB:
..Mzee Kinana aeleze CCM inapokea trillion ngapi kama ruzuku.
Acha porojo leta hapa hiyo taarifa ya cdm kupokea ruzuku toka 2020!?.
Hii NI hisani au ni haki yao Chadema kulipwa malimbikizo ya ruzuku?Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.
Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali katika mwaka husika.
Kinana amesema ingawa ilikuwa ngumu Rais Samia aliagiza pesa hiyo itafutwe ili walipwe.
hoja ya msingi hapa... Je chadema wamezipikea hizo pesa?, Wameikana kauli yao ya kutokupokea ruzuku kwa serikali isiyo halali kutokana na uchaguzi 2020?. Sababu za kuipokea ni zipi?, Maridhiano yalikuwa kwaajiri ya Mbowe na CCM au Cdm na serikali ya CCM?. Chama kinajua yaliyojadiliwa au ni mbowe pekee!.
Chadema ambao wapo upande wa umma walipaswa kuwa wazi sababu wao wamejipambanua Kama sehemu ya umma juu ya udhalimu ww ccm!. Kukaa kwao kimya kumetoa mwanya kwa CCM kuja na hoja Kama hizi ambazo kimsingi zinaonesha maridhiano hayakuwa baina ya CCM na cdm bali na Mbowe....pande zote za hayo maridhiano zinapaswa kuwa wawazi.
Kwani ruzuku ni hela za viongozi wa Sasa?Chadema si hawautambui uchaguzi wa viongozi wa sasa 😂 Imekuwaje tena
Chadema ambao wapo upande wa umma walipaswa kuwa wazi sababu wao wamejipambanua Kama sehemu ya umma juu ya udhalimu ww ccm!. Kukaa kwao kimya kumetoa mwanya kwa CCM kuja na hoja Kama hizi ambazo kimsingi zinaonesha maridhiano hayakuwa baina ya CCM na cdm bali na Mbowe..
Kinana angeweka taarifa nzima ya maridhiano, vinginevyo aseme mjadala pekee wa maridhiano ilikuwa hiyo ruzuku. Ruzuku ni haki ya cdm, tena hiyo ni kidogo sana maana waliporwa sehemu kubwa ya ushindi wao.Chadema ambao wapo upande wa umma walipaswa kuwa wazi sababu wao wamejipambanua Kama sehemu ya umma juu ya udhalimu ww ccm!. Kukaa kwao kimya kumetoa mwanya kwa CCM kuja na hoja Kama hizi ambazo kimsingi zinaonesha maridhiano hayakuwa baina ya CCM na cdm bali na Mbowe..
Tangu Kanali mzima wa Jeshi ampigie magoti Magufuli nilimdharau tangu siku Ile.Kwa hivyo Serikali na CCM waliamini kuwa ruzuku yao hao ni fadhila?
Tunahitaji kuona viongozi wa kitaifa wakizungumzia masuala mtambuka ya kitaifa.
Habari za ruzuku na manunuzi ya wanasiasa waachie akina Lucas mwashambwa 😅
Kinana ashafilisika kifikra
Acha kujitoa ufahamu weee pimbi, mtu wa kwanza kutamka kuwa tumepokea ruzuku ni mh Lissu mwezi March 2023, akaulizwa katibu mkuu Mnyika akakiri kuwa ndiyo wamepokea sasa ni nn kinakufanya uwe pimbi kiasi hicho???Huelewi nini?, Hizo pesa chama walitoa taarifa lini kuzipokea ikiwa Mara ya mwisho chama kilisema hakitachukua ruzuku kwa serikali iliyoingia kwa wizi na dhuruma!. Hii umekuja baada ya maridhiano kubuma.... Kuna tatizo na wizi ww pesa hizi...
Kwani anayeppokea ni mbowe au Chadema,tofautisha kati ya person na individual,Haya ndio Mambo amabayo mbowe hakutaka kuyaweka wazi wakati wa maridhiano!!, Ona wanavyomuumbua Sasa!, Ni aibu kuwa na kiongozi ambaye sio muwazi katika Mambo ya umma!.
Umekasirika? KajinyongeTuache siasa za hovyoo! Kwani sio mbowe aliyekataa ruzuku akisema hautambui uchaguzi?. Mbowe ana makandokando mengi Sana..... Mbona hakusema hili kuwa ni sehemu ya masharti ya maridhiano?. Chadema imefikia pabaya HAKUNA ukweli na uwazi!.