Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Je hela hizo zilikuwa halali yao au laah ?Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.
Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali katika mwaka husika.
Kinana amesema ingawa ilikuwa ngumu Rais Samia aliagiza pesa hiyo itafutwe ili walipwe.
Shida ya wake za Mbowe hamtaki kusikia jina la mme wenu!?Acha kujitoa ufahamu weee pimbi, mtu wa kwanza kutamka kuwa tumepokea ruzuku ni mh Lissu mwezi March 2023, akaulizwa katibu mkuu Mnyika akakiri kuwa ndiyo wamepokea sasa ni nn kinakufanya uwe pimbi kiasi hicho???
Kwahiyo mbowe ni person? Afu chama ni individual🙄Kwani anayeppokea ni mbowe au Chadema,tofautisha kati ya person na individual,
Umekasirika? Kajinyonge
Narudia tena , hizo hela sio za hayo majizi ya kura. Huenda unadhani ni mishahara ya hao waliopora uchaguzi.Kama hamkubali uchaguzi bc na ruzuku msikubali mana haiwezekani ukatae mimba afu uje umkubali mtoto
Tumewachoka na ngonjera zenu Msigwa alimuomba msamaha kwa hiyo Kinana hausiki na kashfa hiyoKinana anawaza kuua tu tembo wetu, meno na pembe akauze China [emoji630]
CCM huwa inatangaza wamepokea ruzuku kiasi gani ? Acha siasa za mqji taka wewe elephants DrMakamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Omari Kinana amedai Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kililipwa Tsh. Bilioni 2.7 ikiwa ni malipo ya ruzuku ya miaka mitatu kutoka Serikalini, mchakato ambao ulifanyika wakati wa mazungumzo ya maridhiano baina ya CCM na CHADEMA.
Amesema “Ruzuku inapitia katika Bajeti ya Serikali na ikishapita haipatikani tena lakini Rais (Samia Suluhu) akaagiza Serikali kutafuta utaratibu wa kuwalipa na wakasema mkitupa hizo hela itakuwa mwanzo mzuri wa kutambuana, wakalipwa lakini hawakuwahi kusema japo madai yao yalikuwa yamepitwa na wakati.”
Mhuni mwingine. JPM aliikoa simba, twiga, tembo, pundamillia, chui wetu kutoka kwa wahuni kama huyu.Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Omari Kinana amedai Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kililipwa Tsh. Bilioni 2.7 ikiwa ni malipo ya ruzuku ya miaka mitatu kutoka Serikalini, mchakato ambao ulifanyika wakati wa mazungumzo ya maridhiano baina ya CCM na CHADEMA.
Amesema “Ruzuku inapitia katika Bajeti ya Serikali na ikishapita haipatikani tena lakini Rais (Samia Suluhu) akaagiza Serikali kutafuta utaratibu wa kuwalipa na wakasema mkitupa hizo hela itakuwa mwanzo mzuri wa kutambuana, wakalipwa lakini hawakuwahi kusema japo madai yao yalikuwa yamepitwa na wakati.”
Hivi CCM wakipewa ruzuku huwa wanatoa taarifa kwa umma!? Huyu mkimbizi aliyepo ndani ya mfumo vipi!?