Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha kumtisha Amir jeshi mkuu
 
Kubaki ofisini kwa namna hiyo ni ujinga, na ni mpumbavu tu kama Mabutu ndio anaweza kufanya hivyo. Hata kama Poilitics is a game lakini kuna red lines.
Kuna wananchi wanataka huduma, vijana wanataka ajira, wanafunzi wanataka mikopo, wakulima wanataka pembejeo n.k. Hayo yote ni majukumu ya Rais. Na huwezi kuyatekeleza hayo kama eti "una act like a fool"
 
Umenena vyema mkuu
 
Du aisee uchaguzi ujao utakuwa mgumu sana
Hapana, ni kinyume chake. Unajua uchaguzi ukienda kama sheria ilivyo hata kwa katiba tulio nayo unakuwa mrahisi sana. Shida ukienda kama Nape alivyosema ndio unakuwa mgumu.
Kilichofanyika ni kuondoa viongozi wa idiolojia hizo. Hivyo uchaguzi utakuwa poa sanaaaaaaa!
 
Mama panga safu unayo iamini
Watu wameshachoka na Wahuni
## kataa wahuni # Polepole
 
Amejiuzuru kwa kashfa gani? Au hakubaliani na kitu gani?
Amejiuzuru au amestaafu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…