Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mwenye Ile Screenshot ya ya Akaunti ya DAUDI BALALI...Kuhusu UTABIRI WA uchaguzi 2025.
Atuwekee hapa.
Atuwekee hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wenye uhai waishi kwa hofu ya walio wafu kweli?Na Bado. Mzimu wa Magufuli utawamaliza wote walioshangilia kifo chake. Muda utajibu
JK ni mtu wa karibu sana na kinana. Hapo kuna kazi. Anything can happen.Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.
Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.
Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka uraisi.
Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.
Jinsia nayo ni tatizo lingine. na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.
Muda utaongea.
Aaah siyo mambo yangu hayo kabisa. Hata ukatibu kata siuwezi.Who knows, usishangae Lukas Mwashambwa au FaizFoxy anauramba umakomo Mwenyekiti wa CCM, maana siku hizi UCHAWA unalipa sana.
Yupo mapumzikoni.....Makonda yuko wapi?
Watu wamelipiza kisasi nini?
Alaa! Kumbeee!Yule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
Endelea kujidanganya.Makanali wastaafu wamebakiza mtu mmoja tu kwenye ubavu wa mama lakini pia bado wanamshawishi au kwa lugha sahihi wanamtaka Ridhiwan abwage manyanga haraka.
Wastaafu wanataka wapigane kutokea nyuma kuelekea mbele kwa kutumia mbinu ya kijeshi inayoitwa blitzkrieg hapo 2025.
Aaghh wapiHapana.
Tupo wazalendo.
Mambo yako ni kusukuma chapoo na kupaka hina!Aaah siyo mambo yangu hayo kabisa. Hata ukatibu kata siuwezi.
Mwenye Ile Screenshot ya ya Akaunti ya DAUDI BALALI...Kuhusu UTABIRI WA uchaguzi 2025.
Atuwekee hapa.
Kila mtu na mtaalam wakeNchimbi kazini.
Mzee MABENDERA 😁Nasubiria britanicca amalizie kahawa yake....
Bado kidogo. Vuta blanketi umalizie ndoto hiyo ya kutisha.Kume.........kuuuuuchaaaaa!!
Aliomba kupumzika ukatibu wakati wa Hayati Magufuli. Baadaye alikubaliwa. Akawa makamu Mwenyekiti...na sasa amekubaliwa.Mtajiuliza mengi tu, lakini usahihi ni kuwa Kinana siku nyingi sana anataka kupumzika.