Tabiri nyingi sana zimetoka zikiongea mpasuko mkubwa ndani ya kijani yajayo yanafurahisha sanaaMambo si mambo huko CCM. Yajayo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabiri nyingi sana zimetoka zikiongea mpasuko mkubwa ndani ya kijani yajayo yanafurahisha sanaaMambo si mambo huko CCM. Yajayo.....
Rais anashindwaje vita?Na ni dhahiri hii vita Samia atashindwa asubuhi na mapema.
Wenye nchi hawajawahi kushindwa
Ulitaka iwe muda gani?Kwanini wakati huu??
Linaudini sana hili.Fisadi kuu limeamua kupumuzika ili lifaidi Mali lilizozifisadi Toka miaka ya 1990
Kisasi wewe unahofia???Upinzani labda CCM B ila sio huu wa chadema na washirika wake hakuna presidential material kwenye vyama tajwa hapo juu na walivyo na visasi sijaona wakipewa nchi kwa sasa
Naomba nitag nifuatilie huo uzi nipate majibu.KARIBU kwenye Uzi mwendekezo kule kuna jambo
when was this?
Acha kumsingizia mzee kinana. Mzee mstaarabu sana ana hekima na busara. Na hana kisasi.Fisadi kuu limeamua kupumuzika ili lifaidi Mali lilizozifisadi Toka miaka ya 1990
Mnamkuza sana Kikwete ilhali ni mwepesi kuliko karatasi! Kikwete na mtandao wake ulimalizwa haraka sana na Magufuli akabaki hoi bin taabani.Option pekee ni Kikwete kumbeba Samia. Option ya Samia kwenda solo ni ngumu kwake, hana uwezo mkubwa kivile. Miaka yote yupoyupo tu. Atakuwa kama Joyce Banda
Wakati wa Magufuli baada ya Nape kutenguliwa na kunyooshewa bastola Kinana alipanga kwenda Lumumba kutangaza kujiuzulu lakini Jiwe hakutaka kwasababu aliona ni dharau. Akatuma wanausalama wazingire nyumba yake oysterbay asitoke na huku Jiwe anadanganya kamtuma kutibiwa indiaHii siyo mara ya kwanza Komredi Kinana Kujiuzulu.
Alishajiuzulu wakati wa Magufuli lakini akarejea tena kwa Cheo kikubwa zaidi zama hizi za Mpendwa Wetu Mwenyekiti Mh Dr Samia
Sasa Amejiuzulu na anaweza kurejea tena au Ndio anastaafu kama Mzee Tingatinga? 😃
Mlale Unono 😀😀
Ameshapona?Mara Pa! Makonda Makamu Mwenyekiti....
Baada ya utenguzi nilishajua chama kinajipanga kwa uchaguz 2025 nape anarudi kwenye chama swala la muda tuApewe Nape au January