jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
The three musketeers.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The three musketeers.
Sukuma gang zama zenu zimekwisha.Mara Pa! Makonda Makamu Mwenyekiti....
Mwizi wa taifa kaondoka na watoto wake yaani hapa ndipo tunapata picha kuwa hawa watu ni hatari sana Kwa watanzania wote na hata kifo cha Yule Mzee jiwe kimetokana na hawa jamaa.
Hawa watu ni shida Sana wakiongozwa na Mzee wa msogai
Hatari...ni suala la muda..2026 tenaWanaingia tena mafichoni🤔
Sasa aliyesambaratika ni nani hapo kati ya JK na Jiwe?😀Mnamkuza sana Kikwete ilhali ni mwepesi kuliko karatasi! Kikwete na mtandao wake ulimalizwa haraka sana na Magufuli akabaki hoi bin taabani.
Mtandao pekee ambao haukufa na Magufuli aliamua kusalimu amri kwao na kuungana nao ni Lowassa na Rostam Aziz ambao kijana wao mtiifu na mpendwa ndo huyo Nchimbi kwa sasa!
Huyo JK hana lolote mnalotaka kuaminisha watu zaidi ya mvizia fadhila tuu.
Uzi umefichwa ? siuoniKARIBU kwenye Uzi mwendekezo kule kuna jambo
Wanapitia njia ile ile waliyopita wakati wa MagufuliYule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
Kufa ni ahadi hata JK atakufa lakini ukweli ni kwamba hana lolote.Sasa aliyesambaratika ni nani hapo kati ya JK na Jiwe?😀
Itaweka mkazo kufundisha Arabic mashuleni😎Sasa pata picha Ilani ya CCM ijayo itakuwaje?
Tusubiri!!
View attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti wa CCM amesema "Ni kweli nilipokuomba utusaidie kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti nilikuahidi utakaa muda mfupi kama ulivyoomba, na kwa kweli nilipenda uendelee kutusaidia lakini kwa kuwa umeomba sana na ahadi ni deni nalazimika kwa moyo mzito kuridhia kujiuzulu kwako".
Pia Mwenyekiti wa CCM amesisitiza kuwa Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika.
Chama Cha Mapinduzi kinamshukuru Ndugu Abdulrahman Kinana kwa mchango wake mkubwa kwa Chama chetu.
PIA SOMA
- Matokeo CCM: Abdul Kinana Makamu Mwenyekiti Bara, Hussein Mwinyi Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti Taifa
View attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti wa CCM amesema "Ni kweli nilipokuomba utusaidie kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti nilikuahidi utakaa muda mfupi kama ulivyoomba, na kwa kweli nilipenda uendelee kutusaidia lakini kwa kuwa umeomba sana na ahadi ni deni nalazimika kwa moyo mzito kuridhia kujiuzulu kwako".
Pia Mwenyekiti wa CCM amesisitiza kuwa Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika.
Chama Cha Mapinduzi kinamshukuru Ndugu Abdulrahman Kinana kwa mchango wake mkubwa kwa Chama chetu.
PIA SOMA
- Matokeo CCM: Abdul Kinana Makamu Mwenyekiti Bara, Hussein Mwinyi Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti Taifa
View attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti wa CCM amesema "Ni kweli nilipokuomba utusaidie kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti nilikuahidi utakaa muda mfupi kama ulivyoomba, na kwa kweli nilipenda uendelee kutusaidia lakini kwa kuwa umeomba sana na ahadi ni deni nalazimika kwa moyo mzito kuridhia kujiuzulu kwako".
Pia Mwenyekiti wa CCM amesisitiza kuwa Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika.
Chama Cha Mapinduzi kinamshukuru Ndugu Abdulrahman Kinana kwa mchango wake mkubwa kwa Chama chetu.
PIA SOMA
- Matokeo CCM: Abdul Kinana Makamu Mwenyekiti Bara, Hussein Mwinyi Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti Taifa
Hii nchi ilishaanza kuwa ya makamisaa wa jeshi na watoto wao. Kikwete, kinana, makamba na Nauye
Wanaenda kupigiana tena simu za kumteta churaWanaingia tena mafichoni🤔
Jpm regimewhen was this?
Wakirudia tabia hiyo, tutakula vichwa vyao kwa siku Moja, kama mashambulizi ya Osama bin ladenHao ndio Viungo wachafu wachezaji wa magamba. Suala la bendera nusu mlingoti haliepukiki, ni tukio la kujirudia upyaa!
VuvuzelaHivi kweli Kinana amejiuzulu au kuna mambo hayako sawa na samia, makamba . Nape hilo ni Bumunda tu johnthebaptist