Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Mkuu tumia common sense hizo races zote lazima ziwe na distinct tofauti au unaweza eleza kisayansi mwafrika natokanaje na mzungu au mzungu anatokaje kwa mwafrika kama source yetu ni adam na eve tu.
hebu mkuu jiulize tena,abraham alitokea iraq,tunaeza sema alikuwa mwarabu yeye na mkewe,
nyumba ndogo alikuwa mmisri,akamzaa ishmael kwa mama wa kimisri,
pia akamzaa isaka kwa mama wa kiarabu yaani sara.

Halafu sasa huyu isaka akamzaa yakobo,
ambaye baadae akaitwa israel,
kumbuka yakobo hakuoa mke wa pale caanan,alirudi paran ama iraq ya leo kuchukua mke wa kiarabu,maana yake ni kuwa watoto wa yakobo ni pure arab kuliko watoto wa ismael.
Sasa swali israel na ishmael ni ndugu,
japo israel ni jina kapewa ukubwani,ni kwa jinsi gani hilo jina la ukubwani lilibadirisha DNA configuration za yakobo zikawa za kiisrael?.

Hivi jina la kupewa linaweza kubadili ukawa race tofauti na ya baba yako au babu yako?.

Ndo hapa unaona kuna uongo mwingi mno umepita hapa kati,haiwezi ukawa mnyantuzu halafu ukapewa jina tuseme mrema na ghafla Dna zibadirike kuwa za kimachame
 
Isaiah 45:7
I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the Lord do all these things.

nakumbuka kuna siku nilisema either devil and God are friends, or the same creature with two identities..

soma huo mstari, utafakari, halafu jiongeze.
 
Isaiah 45:7
I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the Lord do all these things.

nakumbuka kuna siku nilisema either devil and God are friends, or the same creature with two identities..

soma huo mstari, utafakari, halafu jiongeze.
wayahudi wenyewe hawaamini uwepo wa shetani,
wanaamini kuwa mema na mabaya yote hutoka kwa G-od.
Na hiyo aya ndo inawaprove wanachoamini,ndo maana wayahudi hawaamini mambo ya moto wa milele wala pepo,wao wanajuwa mji wa jerusalemu ndo pepo yao,na masiha wanaemsubiri atatawala duniani nzima kutokea Jerusalem
 
wayahudi wenyewe hawaamini uwepo wa shetani,
wanaamini kuwa mema na mabaya yote hutoka kwa G-od.
Na hiyo aya ndo inawaprove wanachoamini,ndo maana wayahudi hawaamini mambo ya moto wa milele wala pepo,wao wanajuwa mji wa jerusalemu ndo pepo yao,na masiha wanaemsubiri atatawala duniani nzima kutokea Jerusalem
hatari sana, sasa pale madhabahuni wachungaji wanavyokemea mapepo na kuwaita maajent wa shetani ina maana wanakosea? maana shetani ndio huyo huyo mungu.
 
Swali jepesi sana.iko hivi
Adam na hawa hawakuwa watu halisi kama tulivyo mimi na wewe bali yalikuwa ni majina ambayo yalitumika kuwakilisha makundi ya watu.so Adam alikuwa anawakilisha wanaume na hawa alikuwa anawakilisha wanawake.lengo la kitabu cha mwanzo ni kuonyesha historia ya binadamu so isingewezekana kuzungumziwa namna kila mtu alivyopatikana so yakachaguliwa majina mawili ili yawe vielelezo au kuwakilisha makundi hayo ya watu.ukisoma vizuri kitabu chenyewe kinajieleza mfano habari ya nyoka kuongea unaona kabisa kwamba No kitu ambacho hakileti maana.so mwandishi wa kitabu kile alitumia majina ya adamu na hawa kwa maana hizo.mfano mzuri ni hadithi za sungura na fisi ambazo hutumia majina hayo kuwakilisha watu halisi.


Uongo unazidi kukolea
 
hatari sana, sasa pale madhabahuni wachungaji wanavyokemea mapepo na kuwaita maajent wa shetani ina maana wanakosea? maana shetani ndio huyo huyo mungu.
hiyo ni kwa mujibu wa dini ya kiyahudi,mema na mabaya yote hutoka kwa mungu,hiyo aya ya agano la kale inawaprove right.

Pia elewa neno shetani maana yake ni challenger,au kinyume cha,kama vile positive na hasi
 
Ndio ubaya wa story za kutunga....mara nyingi zinaishia hewani pasipo na majibu ya maswali yatakayo ibuka....kama Mungu ndiye aliyeumba watu basi angeumba wanawake na wanaume wakutosha ili wasizalishane ndugu kwa ndugu.....na kama aliruhusu ndugu kuzaliana, kwa nini akataze sasa hivi???
Ukweli ni upi sasa???.
 
Mkuu tumia common sense hizo races zote lazima ziwe na distinct tofauti au unaweza eleza kisayansi mwafrika natokanaje na mzungu au mzungu anatokaje kwa mwafrika kama source yetu ni adam na eve tu.
Hapo ndipo mnaposhindwa.Nilijua huwezi kujibu wala kutoa mfano.Nilikamilisha mzungumzo tu.
 
Jamani asili ya binaadamu ni weusi hizo rangi zinatikana na maeneo MTU anayoishi.mfano maeneo ya baridi.joto.nk .
 
Hivi nawasiliana na mtu mzima ama mtoto mdogo?....mimi nakuuliza swali wewe unaweka vitu gani hivyo?
Nashangaa huelewi nakuuliza nini, wakati wewe umesema hizo ni stori za kutunga nikakuuliza zisizo za kutunga ni zipi ambazo ndio ukweli wenyewe??? huelewi. nani mlevi sasa hapa????
 
Nashangaa huelewi nakuuliza nini, wakati wewe umesema hizo ni stori za kutunga nikakuuliza zisizo za kutunga ni zipi ambazo ndio ukweli wenyewe??? huelewi. nani mlevi sasa hapa????
Kwa maana hiyo unamaanisha kila jambo la uongo lina kinyume chake ambacho ni cha ukweli?
 
Back
Top Bottom