station ya pugu ilikuwa ya kushusha ng'ombe, wakati wa mkoloni pugu ikuwa msituni na iliwekwa pale pia kwa shughuli za kijeshi, kwa sasa haina maana tena, funga hiyo station fullstopanza kuzoea tu daladala mkuu kwenda pugu, cas either ulipe nauli ya dar moro then hata ukishuka pugu sawa tu utajua mwenyewe, cas maoni yangu yashapokelewa huko TRC na majibu yamekuja ndio watafanya hivyo cas washaona changamoto iliopo. Bye mkuu rudi barabarani tu kadandie magari ya pugu
Kwani serikali imesema inafanya biashara?serikali nyingi duniani haziwez biashara na huu ndio ukweli
We kwenda zako huko! Kuwa na station sio lazima ipakie abiria anaetoka Dar na kwenda Dar! Matumizi mabaya ya raslimali.watanzania (baadhi) wajinga sana wanajifanya watalaamu na professional wa kila kitu, kwani Pugu hakuna station ya treni? na kwa nini iljengwa kama haina maana? low iq folks, emotions zimewajaa badala ya logic, sgr ina treni aina mbali mbali kuna ya kawaida ambayo itasimama kila kituo na kuna express ambayo itasimama vituo vikubwa tu, kipi ambacho hamuelewi hapo? nchi haiendeshwi kwa personal interest bali interest za wote, huko Pugu kuna watu wanaishi pia …
We kwenda zako huko! Kuwa na station sio lazima ipakie abiria anaetoka Dar na kwenda Dar! Matumizi mabaya ya raslimali.
station kujengwa pugu ilikua ni makosa, ila ndo ishajengwa, msijari mtakua mnalipia nauli ya morogoro kwenda hapo pugu kwenu😊
Wa pugu, soga, ruvu, ngerengere waruhusiwe tu, ila nauli iwe flat rate 13 elfu ya moro ku discourage upigajiTreni ibebe Morogoro na Dodoma tu hao wengine wanapoteza muda tu
Naskia SGR wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma
Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni wanaopitiliza hadi Morogoro, Dodoma kwa elfu moj hivi hamuoni aibu?
Huu mradi msipikuwa makini mtauuwa mapema tu maana naona hii ni michezo ya wafanyakazi
Ukienda abood pale hakuna nauli ya mlandizi wala nauli ya Chalinze ukipanda gari ya mro kama nuali ni sh 13000 utalipia hiyp hiyo 13000 hakuna masihara
Ukipanda tilisho,kilimanjaro,bm za arusha kama unashukia Tanga au himo wao haiwahusu utalipa 45000 ile ile ya Arusha wanafanya hivyo kuepuka upigaji wa wafanyakazi na abiria wasio waaminifu sasa nyie sgr hamjifunzi kwa wenzenu?
Abiria wa pugu si apande daladala za gongo la mboto pugu kwenye sgr anafuata nini
Huna akiliwatanzania (baadhi) wajinga sana wanajifanya watalaamu na professional wa kila kitu, kwani Pugu hakuna station ya treni? na kwa nini iljengwa kama haina maana? low iq folks, emotions zimewajaa badala ya logic, sgr ina treni aina mbali mbali kuna ya kawaida ambayo itasimama kila kituo na kuna express ambayo itasimama vituo vikubwa tu, kipi ambacho hamuelewi hapo? nchi haiendeshwi kwa personal interest bali interest za wote, huko Pugu kuna watu wanaishi pia …
Hili sasa ni tatizo la hao watu wa software, ilitakiwa hiyo seat iwe released baada ya abiria huyo kushuka pugu ili abira wa hapo hapo pugu aweze kuninunua tena hiyo seat.Ajabu kabisa nimejaribu hapa ni kweli ukikata tiketi ya pugu, siti inakuwa close maana yake mtu akitaka hiyo siti kwenda dom atakosa
Software yao tu ya ticket inaweza tatua tatizo hilo.tubadili mfumo wa malipo, tuweke smart ticket za gps, mtu akipitiliza system inaonyesha.
Huna akili
Wewe unafikiri behewa ni kama gari la mabox? Sio haraka hivyo, sema wasitishe huduma kwa vituo vya karibu mpaka hapo baadae watakapopata behewa nyingi zaidi.Wanashindwa kuwa wabunifu. Watengeneza mabehewa ya Abiria wa njiani.
Na kwa treni inayoanzia Dar na kituo cha kwanza kiwe Ruvu siyo Pugu.
Shida tumejaza watu wasiofikira katika hizi Taasisi.