Abiria wa Tanzania akamatwa Hong Kong na heroin ikiwa ndani ya mashine

Abiria wa Tanzania akamatwa Hong Kong na heroin ikiwa ndani ya mashine

Alipita uwanja gani?mwakyembe upo?
Duh, kwa kweli kwa technique hii hata Mwakyembe asingeweza. Ndiyo maana mimi nilisema Mwakyembe anatuchezea akili. Yeye anataka kupambana na wanaopitisha pale uwanja wa ndege, wakati Rais anawatibu wabwia unga?
 
huyu jamaa nae yani unapeleka spare part hong khong lazima udakwe

Mara nyingi wafanyabiashara wa Tanzania - China huwa wanachukua bidhaa fulani kama sample huku Tanzania na kwenda kuzifyatua kwenye viwanda huko Guangzhou, Shenzhen, Yiwu n.k

Sasa huwenda huyu naye alitumia mwanya huo kutaka kupita na hiyo sampuli...
 
very soon tutakuwa blacklisted.

Nami nina wasiwasi huo mkuu, na ikichukuliwa kwamba kwa Watanzania kuingia HongKong ilikuwa rahisi maana hata visa + permit ilikuwa unaipata airport
 
young stunna .mimi kwa mtazamo wangu mwakyembe hausiki kwa hili kwani pale kuna polisi anayelinda na kukagua kwani lazima watakuwa na intel so polisi wapo wapi ilo ndio lingekuwa swali la msingi?

Si ndo maana alienda alfajir kabla hata ya adhana, kumvusha punda wake
 
Aibu kweli kweli,yan jamaa wameshindwa kabisa kuongoza taifa letu,

Hivi nchi hii inaelekea wapi sasa?

Yani kila siku uozo uozo tuh,aibu sana hiii
 
tumefika pabaya hadi wachina wanatuogopa?wakituona wabongo-tunaogopeka hadi tunavunja record za wa Nigeria!!
 
mmmmh
hivi watanzania tumerogwa na nani? Looh!!!!

wameona rais wao ammfumbia macho mwanae .... Kwa hiyo kila mtu ameamua kuchangamkia hii biashara, maana rais na serikali yake wapo likizo ya muda mrefu (10 yrs)
 
Toka lini kifaa kinunuliwe Tanzania kitumwe China mbona vice-versa

Tanzania hawana mitambo ya kuona madawa yaliyofichwa namna hiyo.
 
Uvivu ndo umetuzidi,
sie tunaolima mnatuona kama tumechangayikiwa
nyie mwataka za haraka,
haya tutaona chama hapa je.


Kwa kweli umenivunja mbavu zangu sana,
Wenzako wanaona wanachelewa ujue,maisha yenyewe haya mafupi na siku hizi fainali siyo tena uzeeni,fainali ni ujanani uzeeni tena ni majaliwa,

Ha ha haa,Failed State Tanzania...

Nchi imeshajifia mda mreeeefuu...!!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh
Hivi watanzania tumerogwa na nani? Looh!!!!



Hatujarogwa hii biashara inalipa sana kuliko hata uharamia wa somalia, kila mtu anaivizia. Mwaka jana nakumbuka kuna mtoto wa kigogo mstaafu wa BOT alikamatwa na mzigo wenye thamani ya Tsh 18b mkoani lindi. Mtoto mwenyewe alikua kwenye miaka 21/22, hapa tutawalaumu bure lakini wao wanaamini hizo risk ni kama za majambazi kokoswakoswa na risasi au kuawa na risasi.
 
Hizo mbona ni gear mbili tofauti? Au ni za matukio tofauti? Isije ikawa mambo mengine mipakazo tu. Na je, hao wanaokamatwa ni watanzania kweli?
Mwakyembe chunguza hili sakata vizuri tafadhali.
 
Wewe ulitaka afanye nini?
Yeye kama rais anatakiwa aonyeshe juhudi zake binafsi sio kujikita kualika mateja ikulu na kuhangaikia matokeo ya madawa ya kulevya kuliko kukinga.
 
Rais Kikwete naona umeamua kuipakakinyesi kabisa nchi yetu kwa kuikalia list yako ya wauza unga na kushindwa kuwakamata..inauma sana nchi yetu kupata taswira hii nje ya mipaka yeu, ila yana mwisho kama umeshindwa NATURE will take place na matokeo yatakuwa mabaya sana kuliko kama ungekubali lawama na kuchukua hatua
 
huyu jamaa nae yani unapeleka spare part hong khong lazima udakwe
Kweli mkuu hii mbinu hata mtoto mdogo angeishtukia! Nchi iliyoendelea kama Hong Kong kuagiza gea kutoka Tanzania? Ni arobaini za mwizitu zilitimia!
 
Nami nina wasiwasi huo mkuu, na ikichukuliwa kwamba kwa Watanzania kuingia HongKong ilikuwa rahisi maana hata visa + permit ilikuwa unaipata airport

lakini hawa Wachina hawatutendei haki kwanini hawafanya uchunguzi w akutosha?
kila siku wanishia kuwafunga na kukamata mapunda tu, kwanini hawa wafuatilii wanaowatuma mapunda kama marekani wanavyofanya huko MEXICO ?
 
Back
Top Bottom