mchorazombie
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 282
- 114
serikali ya ccm ni kama ukoo wa panya yote majizi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini hawa Wachina hawatutendei haki kwanini hawafanya uchunguzi w akutosha?
kila siku wanishia kuwafunga na kukamata mapunda tu, kwanini hawa wafuatilii wanaowatuma mapunda kama marekani wanavyofanya huko MEXICO ?
Mmmmh
Hivi watanzania tumerogwa na nani? Looh!!!!
Kama hajui lakufanya basi mlichagua picha likakae ikulu.......!Wewe ulitaka afanye nini?
picha mbilii tofautii kabisa,check meno gear ya juu ni 4,na mwisho tofauti.chini nii meno gear 2 na mwisho wa round mbili tofauti,hata kama mashine ya kwanza iligoma ama kushndwa kukatwa na masine hata kufauliishwa kwenye mashine nyengiine mbona kilicho katwa pia ni tofauti?
Hii machine mbona Kama imechakaa ghafla baada ya kukata hicho Chuma au ilifungwa hapo kwanza kisha kikahamishiwa katika machine nyingine! Tazama kwa umakini hizo picha.
Hizo mbona ni gear mbili tofauti? Au ni za matukio tofauti? Isije ikawa mambo mengine mipakazo tu. Na je, hao wanaokamatwa ni watanzania kweli? Mwakyembe chunguza hili sakata vizuri tafadhali.
picha mbilii tofautii kabisa,check meno gear ya juu ni 4,na mwisho tofauti.chini nii meno gear 2 na mwisho wa round mbili tofauti,hata kama mashine ya kwanza iligoma ama kushndwa kukatwa na masine hata kufauliishwa kwenye mashine nyengiine mbona kilicho katwa pia ni tofauti?
Mmmmh
Hivi watanzania tumerogwa na nani? Looh!!!!
mie nilidhani wangetulia kidogo wasubiri upepo upite kumbe walaaa ndio kama wamefunguliwa jamani.
JK kimyaaa kama hasikii vile!