Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
JK alishasaema anawafahamu wauza dawa za kulevya; hakuwataja, hakuwakamata; bado wanaendelea.
Natoa ushaurin kwa hongkong; baada ya kugundua hivyo inabidi wawe makini sana, mzigo ufuatiliwe hadi unakokwenda ili anayepokea naye akamatwe. Hawa manowakamata ni waganga njaa tu. Huyo anayepokea huko ndiye ashughulikiwe zaidi.
Natoa ushaurin kwa hongkong; baada ya kugundua hivyo inabidi wawe makini sana, mzigo ufuatiliwe hadi unakokwenda ili anayepokea naye akamatwe. Hawa manowakamata ni waganga njaa tu. Huyo anayepokea huko ndiye ashughulikiwe zaidi.