BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Mbali na kuwa na utaratibu wa kupanga foleni lakini bado usafiri wa Mwendokasi Kituo cha Mbezi Luis Dar es Salaam bado ni changamoto sana, sijui nini kifanyike kwa kweli?
Nimepita nikaona watu wanavyopambana na kugombania kuingia kwenye usafiri hadi huruma.
Nimepita nikaona watu wanavyopambana na kugombania kuingia kwenye usafiri hadi huruma.