Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
Mkuu kama haujui Kibanda yupo kwenye payroll ya Lowasa mpango wa kumshambulia Sita ni maagizo ya Lowasa! Kama anaandika vitabu vya mafisadi kwanin aanze na Sita na siyo wale ambao wamejulikana tangu mwanzo?
I get a strong feeling that some people in JF have also been bought to spread propagandas for Lowasa's 2015 presidency. Why would any body blame Sita for the 111 bilion, and spare people like lowasa and rostam who brought the faud company and who are going to benefit if we pay the money. All of those who are against sita do not mention lowasa or rostam as mafisadi at all.
At least sita allowed the motion of richmond to be tabled on the parliament, tell me another haed of parliament who would have dared to do so. And have you foggoten that it is because he allowed discussion of richmond that lowasa and rostam made sure he do not return to the seat? Lowasa thinks tanzanians are easy to fools, easy to buy, but let me tell him that tanzanians are not that stupid.
huyo mwandishi hata asiwape PRESURE, nina uhakika na anachokifanya na anafanya kwa minajili ipi!mi namjua hadi kwake hadi shule alizosoma na maisha yake yote yapo kiganjani kwangu!BASI AKITOE THEN ITAKUWA NI STAILI YA KULUIPUANA NCHI HII ILI WATANZANIA WAWAJUE BAADI YA WAANDISHI WALIVYO NYOKA.kama anatoa kitabu sasa hivi alikuwa wapi siku za nyuma, hawa ndo wanachochoa machafuko angalia rwanda waaandishi wa habari walifanya nini!
,
kama ndo hivo kitabu chake kikitoka, hata mimi nitatoa series ya mambo yake yote na maisha yake kwa ujumla ili watanzania wamjue huyu mwandishi anayejiona mkamilifu na mpenda haki!mafisadi wapo wengi kwa nini kamchagua sita?mapapa wapo wengi ambao wamehangamiza hii nchi hujui walichokifanya au wewe sio mwandishi?basi kitabu nakisubiria!.
.
WAPO WATU WANA AKILI DHAIFU SANA, HIVI MJADALA WA RICHMOND ULIPOFIKIA BUNGENI KWELI SERIKALI ILISHINDWA KUCHUKUA MAAMUZI MAGUMU?KILA KITU KILIWEKWA WAZI USHAHIDI ULIPELEKWA KWA MKUU, MLITAKA SITTA AFANYE NINI AWE DPP?AWE AGUSTINO RAMADHANI, AWE MWEMA?AWE MANUMBA?MNAJUA KILA KITU KINA MIPAKA!NINA UHAKIKA KAMA NJIA YA JINSI RICHMOND ILIVYOKUWA ILIONESHWA!WATAWALA NA VYOMBO HUSIKA NDO VYA KULAUMIWA, SHUKULU SANA SITTA ALIRUHUSU ANGEKUWA MWINGINE SIDHANI KAMA HAYA MAMBO KAMA MGEYAJUA!KINACHOWAFANYA MUMCHUKIE SITTA NI NINI?KUWA MUWAZI NDO UNAFIKI WAKE?KIKATIBA ANAYO HAKI YA KUTOA MAWAZO YAKE KAMA MWANANCHI WA KAWAIDA SEMA NYIE MNAKARIRI KWAMBA UKIINGIASERIKALI BASI UMEFUNGWA!HUO NI UTUMWA WA MAWAZO NA FIKIRA POTOFU! RUDINI SHULE MJIFUNZE.,
,
NAMSUBIRI MHESHIMIWA MWANDISHI ATOE KITABU CHAKE THEN TUANZE MAPAMBANO!HII DUNI NDOGO SANA!
It is very cumbersome to believe this at the moment. Many Tanzanians believe that Mr. Six is clean and is in the front seat fighting against UFISADI. I am anxiously looking foward to see what the book will tell us about Mr. Six's other side. Something that I should remind Kibanda is that the book MUST be enclosed with undisputable evidence. Short of that, it will be a little bit difficult to differentiate it with UDAKU newspepers.Mzee Kipara, you are the one who needs the book more than anything to know who is Sitta! Sitta cannot be separated from RACHEL, he might be even worse bse he has been investing in people's mind and deceiving them by singing their song and dancing to their rythm! Once you know the true colours of him you will speak differently! take my word bro!
Asante Bw Kibanda, naona unajikanyaga hapa! mbona hueleweki mkuu, unaposema kuwa huamini kama hilo kundi la "MTANDAO" ambalo SITTA ni mmoja wao anaweza kutokea mpambanaji wa ufisadi una maana gani? je mtu kama haupingi ufisadi maana yake ana usapport sivyo? kwa maana kwenye vita ya ufisadi hakuna uvuguvugu, sasa kama Sitta hawezi kuwa mpambanaji basi yeye ni kinyume chake UNAKATAA NA HILI? na pili kama sijakosea kwenye makala yako uligusia swala la Sitta kuzima mjadala wa Richmond, sasa na hili la kuzima mjadala wa Richmond unataka kutwambia halina harufu ya Ufisadi? mbona unajikaanga mkuu? naomba unijibu kabla sijahamia kwenye hiyo hoja yako ya kuandika kitabu ambayo ndiyo haswa kiini cha mwanzisha thread.
Hivi nyie vijana mnamjua Sitta au mmeanza tu kumsikia hapa majuzi akiwa Spika ! Sisi tuliomfahamu toka akiwa Waziri, akiwa CDA hadi kuongoza kituo cha Uwekezaji...mmh, ngoja tunyamaze. Hawa ndio wanafiki wenyewe ndani ya serikali dhalimu ya CCM wanaotumiwa katika kuuma na kupuliza. Of all the people Sitta ! Come on give me a break !
Kweli Uandishi wa Habari sio kazi, bali ni kazi ya kuwatumikia waajiri---hii ni kazi ambayo zamani nikiwa mdogo nilikuwa naipenda sana; lakini sasa; pyuuu! Huyu jamaa (Kibanda) zamani nilikuwa nam-respect vibaya sana, nazani enzi zile alikuwa Majira kama sikosei!!! Kumbe hizi porojo na propaganda za Tanzania Daima hivi sasa zinatoka kwake?! Sikufahamu kwamba the man i was respecting ndie Mhariri Mtendaji wa moja ya vipeperushi vya kisiasa nchini.
MY TAKE: Wakati waandishi wakilalamikia uhuru wa habari toka serikalini; waanze kwanza kulilia uhuru wa kuandika toka kwa waajiri wao! am sure it needs just some few millions TZS to take Kibanda from TZ Daima na kumpeleka Uhuru Publications na kwenda kula matapishi yake kule!
Kwanini alizima sakata la Richmond kihuni? Wacha achambuliwe kama karanga. Yeye na EL,RA,AC na wengine ni janga la kitaifa, hata ikibidi kuuwawa wauawe tu hawana faida yoyote kwa nchi yetu.
Kwa kweli mimi binafsi uwa simuelewi Sitta, anapigania nini serikalini
Lingeendelewa kujadiliwa,Kikwete asingekuwepo madarakani...watu mnabaki Lowasa , lowasa...!!! Lowasa , jk na wengine wengi wangeondoka
Mkuu kula tano,
Tatizo watu hawawaelewi wanafiki hawa, walikuwa wanatumia hoja ya ufisadi kama mtaji wa kisiasa.
Ilipokuwa inatakiwa kufanya maamuzi muhimu kuumaliza huo ufisadi ndani ya bunge kama chombo cha kutunga na kusimamia sheria, wali side na hao mafisadi. Wakija majukwaani kwa wajinga wao, wanatoa mapovu kujidai wanaumizwa na wanauchungu na nchi,sio yeye aliyetukana wapinzani wakati wa uchaguzi au mmesahau?
Hivi nyie vijana mnamjua Sitta au mmeanza tu kumsikia hapa majuzi akiwa Spika ! Sisi tuliomfahamu toka akiwa Waziri, akiwa CDA hadi kuongoza kituo cha Uwekezaji...mmh, ngoja tunyamaze. Hawa ndio wanafiki wenyewe ndani ya serikali dhalimu ya CCM wanaotumiwa katika kuuma na kupuliza. Of all the people Sitta ! Come on give me a break !
umetueleza stori nzuri ila hujasema unamchukuliaje SITTA???Kuhusu hili la kuuzima moto wa richmond ambao kiukweli bado tulikua na kazi nao aliwakera wengi mpaka reginald mengi ambae pia alikua nyuma yake alikasirika sana na nasikia mpaka akawaagiza wahariri wake wasimpe tena sitta coverage kwenye vyombo vyake vya habari,na hata sijui kama uswahiba wao umerejea katika hali ya kawaida,mengi alichukia sana inasemekana.Lakini kama mnavyojua shinikizo lilikua kubwa sana ndani ya ccm kipindi kile ambamo mafisadi walikua na nguvu kubwa mno wakati ule,na kama si jitihada na busara za wajumbe wawili wa kamati kuu bwana ABDULRAHMAN KINANA na BERNARD MEMBE,Sam six ilikua avuliwe uanachama,lakini wawili hao na hasa kinana ambae alionekana kama hana upande alisimama kidete kumtetea spika na kuwaeleza wazi wazi wajumbe wa kamati kuu akiwemo mwenyekiti kwamba spika hana matatizo yeyote anafanya kazi yake na kiukweli anakisaidia chama ambacho kimechafuka..ndio akaponea kwenye tundu la sindano na kupewa masharti ya kuuzima huo mjadala bungeni kwa kuwa unakichafua chama na serikali yake,hapa ndipo alipokosea mzee wangu huyu,hakutakiwa kuyumba kwani tayari alikua na base kubwa ya wabunge na sisi wananchi kiujumla,lakini akaufyata mkia ndani ya ccm lakini bado alikua na uchungu ndio maana mkawa mnasikia habari za CCJ zikipamba moto kwa kasi,ni kweli sitta na wenzake walipanga kujionadoa kwenye chama kama udhibiti dhidi yao kama wapambanaji wa ufisadi utaendelea na hasa kama jk atamrudisha Ngonyani Lowassa serikalini (mpango ambao alikua nao kweli),lakini lowassa hajarudi serikalini mpaka leo na wao nadhani baadae wakaona hakuna haja ya kujitoa badala yake wapambane na mafisadi goi goi wakiwa humo humo ili kama ikibidi mafisadi ndio waondoke...matokeo yake ndio hii issue ya kujivua magamba japo inaonekana kukwama kutokana na udhaifu wa mwenyekiti na pia hujuma za mafisadi.Lakini habari ya ccj ama kujiunga na chadema vyote vilikuwepo na vikao vya kina sitta na viongozi wa chadema na ccj vilishika hatamu sana kipindi hicho,mh.mboe kama anaingia na kusoma haya atakua anaelewa nazungumzia nini,sitts ndio alikua awe mgombea urais wa chadema badala ya slaa kwa msiojua,na hasira za chadema kwa sitta na huu wimbo wa usaliti wa sitta unaoimbwa hapa ni kutokana na tukio la sitta kuwatosa chadema dakika za mwisho,ikabidi wamtafute mgombea wa fasta bwana slaa,ambae hata hivyo kwa muda ule uliobaki alifanya vizuri,nampongeza kiukweli kwa kuwa alitokeo from no where na kutikisa,kama angekua sitta angemshinda jk kwa wakati ule,alikua juu mno.
Watu wengine mnakurupuka tu kumwandama Kibanda. Hamjui chanzo chake ni Sitta kuliandama Tanzania Daima na MwanaHalisi kwamba wamenunuliwa. Kwa mujibu wa Sitta kwenye dakika 45 za ITV alitaka magazeti yambebe kama Mpambanaji wa ufisadi. Baada ya shutuma hizi Kibanda laindika kwenye safu yake Tuendako kwamba Sitta sio msafi na kwamba hiyo vita ya ufisadi ni agenda iliyotekwa tu kutoka kwa Chadema
umetueleza stori nzuri ila hujasema unamchukuliaje SITTA???
Namchukulia kama mpambanaji wa ufisadi asiyechoka wala kukata tamaa kama wenzake kina kibanda na kubenea ambao wamekata tamaa ya kupambana na ufisadi pamoja na mafisadi na kuamua kujiunga nao!pamoja na vizingiti na hujuma kibao za ndani ya chama chake dhidi ya vita ya ufisadi bado kasimama kwenye mstari licha ya kupewa uwaziri ili kumnyamazisha lakini hanyamazi,umewahi kumuona mtanzania wa aina hiyo hivi karibuni?kuna watu hapa wamenunuliwa corolla tu mnaona walivyobadilika!