Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

twende mbele turudi nyuma, SITTA NI MNAFIKI!!!
1)Kwenye vikao vya bunge wakati akiwa spika, ni mara ngapi dr Slaa alikuwa akiomba kuzungumzi au kuomba ufanyike uchunguzi juu ya malipo yaliyofanywa kwenye kagoda, tangold, meremeta etc? je spika sitta alikuwa akimpa huo uhuru? mara ngapi alikuwa akimkatiza?je hapa sitta kama yeye mpambanaji kwa nini alikuwa akiwazuia wapinzani wasiseme maneno mengine ?
2)spika siita, kwenye bunge hili la bajeti mwezi julai 2011, amewaponda wapinzani kwa kuwaita wanafiki kwa sababu wamekataa kupokea posho, mimi nilitaraji angeunga mkono hoja hiyo ili posho zile zikasaidie kutatua matatizo ya wananchi
3)sitta, aliongoza bunge limfukuze zitto kabwe mwaka 2007 alipozungumzia mkataba wa buzwagi, mbona baadae ilikuja dhihirika kuwa wao sitta na ccm yake ndo wanafiki?
4)sitta, alienda kujenga ofisi ya spika jimboni kwake urambo, huo ni wizi!!!na ni matumizi mabaya ya pesa za umma!!! tangu lini ofisi ya spika ikajengwa jimboni????? kwani yeye angekuwa spika au mbunge milele?kwani mbunge atakaemrithi nae atakuwa spika???
5)sitta hana adabu, analalamika kuwa mafisadi wamemtoa kwenye uspika, so inamaana spika aliyewekwa amewekwa na mafisadi? hiyo ni kauli mbaya dhidi ya kiongozi wako, maana naamini spika ni kiongozi kwa sitta kwa sasa
6)sitta ana skendo nyingi zilizoandikwa mwaka 2008, kuhusu vimada wake, malipo hewa ya madawa, lugha za ubabe na dharau, na habari hizo ziliandikwa na tanzania daima mwaka 2008, so hawa daima wamenunuliwa leo au wamenunuliwa toka 2008?kama wamenunuliwa toka kipindi hicho, hivi freeman mbowe(mmiliki wa tanzania daima/mwenyekiti CHADEMA) anawezaje kukaa na mhariri aliyenunuliwa miaka yote hiyo?basi kama mbowe anamlea halikadhalika MBOWE NAYE KANUNULIWA!!!!!
7)Kila siku mimi hujiuliza, iweje hawa watu waiponde CCM ilhali wamo humohumo? kwa nini wasitoke kama hawaridhishwi na mwenendo wake?bila shaka hawatoki kwa sababu na wao wanafaidika na serikali hii ya CCM!!sasa kubaki humo huo ni undumilakuwili na unafiki wa hali ya juu!
8)unafiki wake mwingine ni kukanusha kwake kujiunga au kuanzisha CCJ, aliyetoa madai ni fred mpendazoe, mbona hampingi mpendazoe badala yake ana wakimbilia daima walioripoti? tatizo wana-sihasa wetu wanapenda kuandikwa in a positive way, wakiandikwa mabaya yao wanakurupuka wanasingizia umetumwa!! hivi kila mtu katumwa basi sasa!

lakini ukweli na yaliyo moyoni watu wanayajua wenyewe, maana sie twafanya kusikia hayo maugomvi yote ni hasira na chuki za kukosa vyeo na dili tu wala hakuna jingine, watu walitaraji wangekuwa mawaziri wakuu 2005 wakatoswa basi wakaanza chuki , haya wengine walikuja na dili yao ya umeme wa upepo huko singida, ilipokosa dili, wakateuana wakaja kwenye richmond kumalizia hasira!!

tanzanoia zaidi ya uijuavyo! wanafiki wamejaa kila kona na watu wamejificha kwa ngozi za kondoo kumbe ni mambwa mwitu makubwa!

We mbona umeongea maneno karibu yote ambayo amekua akiyaongea Lowassa na Rostam??hii imetokea kwa bahati mbaya ama ulikusudia kuwanukuu?mfano hii ya kuukosa uwaziri mkuu si ni kauli ya Lowassa aliyoitoa bungeni baada ya "kupima" na kujiona yeye mwenyewe bila kushikizwa kwamba nafasi aliyopewa na jk was too big kwake?alisema "tatizo ni huu uwaziri mkuu" leo nawewe unasema neno lile lile hii ni bahati mbaya imetokea ama ulikusudia kumuiga?sijui bwana lakini nionavyo mimi hapo yote yanaweza kuwa majibu!

Kumuweka sawa bwana Ngonyani Lowassa na wewe,nadhani wote wawili mna "tatizo" la kutunza kumbu kumbu,hivi mzee nikikuuliza wewe na lowassa wako kati ya spika na waziri mkuu nani anaanza kupatikana baada ya rais kuingia madarakani?????kama Sitta alikua ana shida ya uwaziri mkuu ilikuwaje akagombea uspika?je alitaka kuwa spika na pia waziri mkuu yeye mwenyewe???naomba watu wote mnaoukubali uongo huu wa lowassa kudai tatizo lilikua ni uwaziri mkuu na si ufisadi wake katika mchakato mzima wa richmond mkae kama kamati kutafuta jibu la swali hili then mumpatie jibu huyu mwenzenu aje anijibu then tuendelee na mengine!!!hapa ni hoja juu ya hoja tu,mwisho wa siku mtanielewa tu labda muwe wakaidi na kuamua kujitoa akili kama the comedy kwa ajili ya "kiu ya maendeleo" ya haraka!
 
Lowassa alipewa oportunity ya uwaziri kishkaji na mshkaji wake jk lakini kwa ujinga akaiabuse yeye nwenyewe nashangaa kina kibanda na kubenea eti wanamtetea huyo mwanaume wao wa shoka!
 
Tanzania....kiukweli nimechoka sana hata Kubanda nae yumo?kumbe hata Kubenea?hee kweli hii ni tanzania zaidi ya uijuavyo..Sita hata kama ni mnafiki lakini ansema ukweli jinsi mali inavyotafunwa.Mnataka atoke ili mle vizuri kwa kuwa hakutakuwa wa kuwasema.Imekula kwenu
 
Nchi ya maajabu haikosi la ajabu...unaandika ya Sitta ni yeye tu uliemuona?!! badala tujadili haya ya dola kupaa na shilingi kuporomoka tunapiga majungu!!

kweli kwa huu upuuzi unaoendelea wa hii ni katiba ikataeni blah..blah...na wengine huu ni mswada wa kuanzisha mswada wa mswada wa....blah blah... ikifika December dola itakua sh. 3000/=
 
kweli kwa huu upuuzi unaoendelea wa hii ni katiba ikataeni blah..blah...na wengine huu ni mswada wa kuanzisha mswada wa mswada wa....blah blah... ikifika December dola itakua sh. 3000/=


kweli kabisa kamanda!
 
Tanzania....kiukweli nimechoka sana hata Kubanda nae yumo?kumbe hata Kubenea?hee kweli hii ni tanzania zaidi ya uijuavyo..Sita hata kama ni mnafiki lakini ansema ukweli jinsi mali inavyotafunwa.Mnataka atoke ili mle vizuri kwa kuwa hakutakuwa wa kuwasema.Imekula kwenu

bado unasimamia maoni yako? au utayabadilisha kidogo
 
Nchi ya maajabu haikosi la ajabu...unaandika ya Sitta ni yeye tu uliemuona?!! badala tujadili haya ya dola kupaa na shilingi kuporomoka tunapiga majungu!!
hivi unajua sita hajaondoka kwenye nyumba ambayo alitakiwa akae spika makinda?unajua kuwa sita anapata previllage kama za spika mpaka sasa na bado anapata za uwaziri?mtadanganyika mpaka milele wa tz!kuweni macho huyu jamaa ni fix tu,ni mroho wa madarka nafikiri kuliko wana magamba wote!
 
Watanzania tupo ndani ya ukumbi wa sinema tunabadilishiwa cd tu mara bongo movie,mara hollwood movie,mara bolingo time, hind style. Kaaaaazi kwelikweli
 
Kama wali side na mafisadi, mbona mafisadi haohao walipanga njama za kuhakikisha sita harudi kwenye uspika? Narudia tena kwamba sikufurahishwa na sita kufunga mjadala wa richmond, lakini aliuruhusu hadi lowasa kujiuzuru, na hakuna katika historia ya bunge la tanzania spika aliyewahi kufanya hilo. Kisa tu anapinga dowans isilipwe ndo ameshakuwa adui namba moja wa tanzania? Nyie watu kama hamjanunuliwa nendeni mkapime akili, na ndo maana tanzania hatuataendelea kamwe pamoja na kuwa na raslimali nyingi.

Mzee,unamtetea Sitta?
Hata mimi sikumoja nitaanika uwozo wake,ngoja niendelee kumjifunza.
Lakini kwa nililolisikia jana Karagwe akizungumza,nitaenda Karagwe na Urambo kuwaambia aliyesema maneno hayo ni Sitta wa namna gani.
 
Sasa wewe! Unajua kundi la JK Sita alikuwa na jukumu gani? Kwani si ni mipango tu? 6 aliambiwa achukue fomu ya uspika, flash back 1995 ile ndege iliyokuwa na wanamtandao baada ya kuangushwa na Ben, kumbuka hapa ni JF usije kitoto, watu wana data mkuu tena za uvungu wa chumbani. kukosa uwaziri mkuu ndo chanzo cha zengwe na kujipa umaarufu HEWA wa uzalendo, au unabisha ufunuliwe carpet?
We mbona umeongea maneno karibu yote ambayo amekua akiyaongea Lowassa na Rostam??hii imetokea kwa bahati mbaya ama ulikusudia kuwanukuu?mfano hii ya kuukosa uwaziri mkuu si ni kauli ya Lowassa aliyoitoa bungeni baada ya "kupima" na kujiona yeye mwenyewe bila kushikizwa kwamba nafasi aliyopewa na jk was too big kwake?alisema "tatizo ni huu uwaziri mkuu" leo nawewe unasema neno lile lile hii ni bahati mbaya imetokea ama ulikusudia kumuiga?sijui bwana lakini nionavyo mimi hapo yote yanaweza kuwa majibu!

Kumuweka sawa bwana Ngonyani Lowassa na wewe,nadhani wote wawili mna "tatizo" la kutunza kumbu kumbu,hivi mzee nikikuuliza wewe na lowassa wako kati ya spika na waziri mkuu nani anaanza kupatikana baada ya rais kuingia madarakani?????kama Sitta alikua ana shida ya uwaziri mkuu ilikuwaje akagombea uspika?je alitaka kuwa spika na pia waziri mkuu yeye mwenyewe???naomba watu wote mnaoukubali uongo huu wa lowassa kudai tatizo lilikua ni uwaziri mkuu na si ufisadi wake katika mchakato mzima
 
Kibanda anafanya kazi ya Boss wake Mbowe, Mbowe na Slaa wamekwishanunuliwa na Rostam na Lowasa, mashambulizi wanayaelekeza kwa watu waliohusika kuwadamage Lowasa na kundi lake, Lowasa alipofanya mkutano na waandishi hakuna kiongozi yoyote wa CDM aliyecounter attack hoja zake isipokuwa CUF.

Kibanda ni muajiriwa wa Mbowe, anaandika kitabu cha ufisadi wa Sitta ili iweje? coz ni lazima kuwe na sababu ya yeye kufanya hivyo, then what? ameshindwa kuanza na cha Rostam na Lowasa?, la hasha ni vile ametumwa kufanya kazi ya Boss wake Mbowe. Simtetei Sitta, ni kweli anaweza kuwa na makosa yake ya kifisadi kama yapo, lakini je yanalingana na ya lowasa na rostam?

Watu wanapigana kwa bidii dhidi ya ufisadi lakini sasa viongozi wa CDM na washirika wao ndio wamekuwa ngao ya mafisadi wakuu, angalia siku hizi gazeti la mwanahalisi linalomilikiwa na mkurugenzi wa fedha na utawala wa CDM linavyomuandama Sitta, Lowasa siku hizi wala haguswi, na mkakati wenu ni kumwingiza lowasa ikulu, kama Mungu anaishi Lowasa hastahili kuwa rais hata siku moja, jizi hilo ndio linasababisha mchafue watu coz of money?

kweli mtanzania ana kazi kujikomboa.

Rostam na Lowasa sio tishio kwa CDM, tuna deal na tishio. Hivi leo hii ccm wakimsimamisha lowasa si wamekwisha, itakuwa kumsukuma mlevi aingie gerezani, sasa Dr kashawaonyesha ccm kuwa Sita hafai maana ni msaliti na kigeugeu. Watu wanafikiria mbali mjomba....
 
Sasa na wewe usiyejuwa maana ya Reputation power tukuiteje? zuzu! zezeta au ngumbaru? huwezi kumfikia Absalom Kibanda kwa lolote lile kapuku wewe.
Yaani mtu anayetumwa naona na wewe mnatumwa na gazeti lenu mumvuruge SITTA ni afadhali mngeenda kwa Rostam na Lowassa kwani hamjui ni nini kipo nyuma ya pazia katika kuuwania Urais kuliko unavyowatukana wachangiaji. kwa kweli Matola wewe ndio hujui lolote acha watu watoe mawazo yao usiwakataze
 
jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza.
ya Lowasa na Rostam tumeyasikia sana japo mimi nalifahamu suala la richmond zaidi, sasa KIBANDA tupe na hayo ya Samwel ili tuone ni nani zaidi ya wenzake.
 
kidogo ninachofahamu ingawa umri wangu mdogo na siasa niliaanza kufuatilia miaka michache iliopita

mh. Jk mpya huyu wakati wa mbio za urais 2005 aliwaahidi watu hawa wawili yaani 6 na Edwadi katika mazingira tofauti Uwaziri Mkubwa.

mungu si athumani jk akaukwaa urais
katika vikao vya ndani na siri kati ya jk na Edu ikasemekana jk anamtosa mzee 6 upm
k wa maelezo ya kuwa PM wake hawezi kumpa shikamoo.

mipango ikasukwa na KM wetu mzee 6 apewe Uspika jamaa akagoma,wakamwambia sio lazima kama hutaki unaacha,mzee 6 shingo upande akakubali hata pesa ya kuchukulia fomu alipewa .
maandalizi ya kaanza kumbuka Mzee Msekwa mwanzo alitangaza kutogombea tena Uspika,gafla akatangaza atagombea uspika tena

kumbuka jamaa akaanza kulalamika ooh rafu nyingi (mzee Msekwa) huyo,
ikabidi ampigie cm JK akamuuliza vp nasikia unamtu wako unataka awe spika!,jk akasema sina mtu kabisa ila kilichotokea tulikiona
ktk process ya kumuweka 6 madarakani mh Edu na KM wamehusika kwa kugawa pesa na kumfanyia kampeni chafu na mnzuri
hadi mke wa KM kashiriki kumuweka 6 madarakani kwa kutengeneza maandazi kwa ajili ya wajumbe

so wanajuana sana, thus way walikuwa na ugomvi na kimadaraka
KM alishawahi kusema kuwa sina shisa na uwaziri,wengine wanachuki na mm kwa kuwa hawakupata madaraka waliyoyataka

Je unajua kuwekwa kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo unajua lengo lilikuwa kumkomoa mh Edu?
 
Sita anacheza mchezo asioujua, hapa Dr. Slaa ndiyo amemaliza kila kitu huko CCM, anafunuliwa mchana kweupe anaanikwa juani tunamsoma.

Six ni mnafiki hana upambanaji wowote
 
Kibanda anafanya kazi ya Boss wake Mbowe, Mbowe na Slaa wamekwishanunuliwa na Rostam na Lowasa, mashambulizi wanayaelekeza kwa watu waliohusika kuwadamage Lowasa na kundi lake, Lowasa alipofanya mkutano na waandishi hakuna kiongozi yoyote wa CDM aliyecounter attack hoja zake isipokuwa CUF.

Kibanda ni muajiriwa wa Mbowe, anaandika kitabu cha ufisadi wa Sitta ili iweje? coz ni lazima kuwe na sababu ya yeye kufanya hivyo, then what? ameshindwa kuanza na cha Rostam na Lowasa?, la hasha ni vile ametumwa kufanya kazi ya Boss wake Mbowe. Simtetei Sitta, ni kweli anaweza kuwa na makosa yake ya kifisadi kama yapo, lakini je yanalingana na ya lowasa na rostam?

Watu wanapigana kwa bidii dhidi ya ufisadi lakini sasa viongozi wa CDM na washirika wao ndio wamekuwa ngao ya mafisadi wakuu, angalia siku hizi gazeti la mwanahalisi linalomilikiwa na mkurugenzi wa fedha na utawala wa CDM linavyomuandama Sitta, Lowasa siku hizi wala haguswi, na mkakati wenu ni kumwingiza lowasa ikulu, kama Mungu anaishi Lowasa hastahili kuwa rais hata siku moja, jizi hilo ndio linasababisha mchafue watu coz of money?

kweli mtanzania ana kazi kujikomboa.
Nakubaliana na hoja yako ila kaa chini na kufikiria......

"""Mlinda wezi ni Jambazi""

Kafunika vingi tu huyu...kibaya zaidi ni yeye kujifanay anauchungu na sisi.....fikiria nyumba anayoishi ambayo ni ya spika, so zile gharama zooooote tokea mama Makinda kawa spika, na kulipia pango ni sawa na yeye kuzifisadi. almost $8,000/month...alafu istoshe Kwa nini akubali mafao ya spika mstaafu wakati yeye sio mstaafu??? kazima hoja nyingi sanaaaa.

Tunamlaumu Lowasa ( sio msafi hata chembe) ila madili ya wizi yao EL & LA...yalipita chini ya mikono yake....mbona hakusimamia makusudio ya kamati ya Mwakyembe?? si ili apate uongozi? Unamchukuliaje mtu mwenye uchu wa madaraka?? Si ndo fisadi zaidi??
Tafakari Sita nae mwizi tu kama wezi wengine
 
Sasa wewe! Unajua kundi la JK Sita alikuwa na jukumu gani? Kwani si ni mipango tu? 6 aliambiwa achukue fomu ya uspika, flash back 1995 ile ndege iliyokuwa na wanamtandao baada ya kuangushwa na Ben, kumbuka hapa ni JF usije kitoto, watu wana data mkuu tena za uvungu wa chumbani. kukosa uwaziri mkuu ndo chanzo cha zengwe na kujipa umaarufu HEWA wa uzalendo, au unabisha ufunuliwe carpet?
We mbona umeongea maneno karibu yote ambayo amekua akiyaongea Lowassa na Rostam??hii imetokea kwa bahati mbaya ama ulikusudia kuwanukuu?mfano hii ya kuukosa uwaziri mkuu si ni kauli ya Lowassa aliyoitoa bungeni baada ya "kupima" na kujiona yeye mwenyewe bila kushikizwa kwamba nafasi aliyopewa na jk was too big kwake?alisema "tatizo ni huu uwaziri mkuu" leo nawewe unasema neno lile lile hii ni bahati mbaya imetokea ama ulikusudia kumuiga?sijui bwana lakini nionavyo mimi hapo yote yanaweza kuwa majibu!

Kumuweka sawa bwana Ngonyani Lowassa na wewe,nadhani wote wawili mna "tatizo" la kutunza kumbu kumbu,hivi mzee nikikuuliza wewe na lowassa wako kati ya spika na waziri mkuu nani anaanza kupatikana baada ya rais kuingia madarakani?????kama Sitta alikua ana shida ya uwaziri mkuu ilikuwaje akagombea uspika?je alitaka kuwa spika na pia waziri mkuu yeye mwenyewe???naomba watu wote mnaoukubali uongo huu wa lowassa kudai tatizo lilikua ni uwaziri mkuu na si ufisadi wake katika mchakato mzima

MKUU KABLA YA KUMTISHA UNGEJIBU SWALI LAKE LA MSINGI SANA,AMBALO HATA MTOTO WA DARAS LA 3 ASINGEBABAIKA KULIJIBU NA KUISHIA KUTAPATAPA KWA MANENO YA VIBARAZANI,JIBU SWALI LAMSINGI,KATI YA WAZIRI NA SPIKA NA NI ANAANZA KUPATIKANA?NA JE SITTA ALICHUKUAJE FOMU YA KUGOMBEA USPIKA HUKU AKIJUA ANATARAJIA KUWA WAZIRI MKUU???????????????
 
Kibanda anafanya kazi ya Boss wake Mbowe, Mbowe na Slaa wamekwishanunuliwa na Rostam na Lowasa, mashambulizi wanayaelekeza kwa watu waliohusika kuwadamage Lowasa na kundi lake, Lowasa alipofanya mkutano na waandishi hakuna kiongozi yoyote wa CDM aliyecounter attack hoja zake isipokuwa CUF.

Kibanda ni muajiriwa wa Mbowe, anaandika kitabu cha ufisadi wa Sitta ili iweje? coz ni lazima kuwe na sababu ya yeye kufanya hivyo, then what? ameshindwa kuanza na cha Rostam na Lowasa?, la hasha ni vile ametumwa kufanya kazi ya Boss wake Mbowe. Simtetei Sitta, ni kweli anaweza kuwa na makosa yake ya kifisadi kama yapo, lakini je yanalingana na ya lowasa na rostam?

Watu wanapigana kwa bidii dhidi ya ufisadi lakini sasa viongozi wa CDM na washirika wao ndio wamekuwa ngao ya mafisadi wakuu, angalia siku hizi gazeti la mwanahalisi linalomilikiwa na mkurugenzi wa fedha na utawala wa CDM linavyomuandama Sitta, Lowasa siku hizi wala haguswi, na mkakati wenu ni kumwingiza lowasa ikulu, kama Mungu anaishi Lowasa hastahili kuwa rais hata siku moja, jizi hilo ndio linasababisha mchafue watu coz of money?

kweli mtanzania ana kazi kujikomboa.
kama ikishindwa jadema Raisi anayefaa ni lowasa tu, kama hutaki hama nchi
 
Sasa wewe! Unajua kundi la JK Sita alikuwa na jukumu gani? Kwani si ni mipango tu? 6 aliambiwa achukue fomu ya uspika, flash back 1995 ile ndege iliyokuwa na wanamtandao baada ya kuangushwa na Ben, kumbuka hapa ni JF usije kitoto, watu wana data mkuu tena za uvungu wa chumbani. kukosa uwaziri mkuu ndo chanzo cha zengwe na kujipa umaarufu HEWA wa uzalendo, au unabisha ufunuliwe carpet?


MKUU KABLA YA KUMTISHA UNGEJIBU SWALI LAKE LA MSINGI SANA,AMBALO HATA MTOTO WA DARAS LA 3 ASINGEBABAIKA KULIJIBU NA KUISHIA KUTAPATAPA KWA MANENO YA VIBARAZANI,JIBU SWALI LAMSINGI,KATI YA WAZIRI NA SPIKA NA NI ANAANZA KUPATIKANA?NA JE SITTA ALICHUKUAJE FOMU YA KUGOMBEA USPIKA HUKU AKIJUA ANATARAJIA KUWA WAZIRI MKUU???????????????

spika anaanza

labda alilazimishwa akaambiwa kama hautaki uspika basi
asubiri uwaziri wa sheria na katiba akaona mmmmhhhh bora uspika

mtazamo wangu tu huo
 
Vipi hiki kitabu kilishatungwa? na je hii haina uhusiano na kilichompata mpiganaji huyu controversial?
 
Back
Top Bottom